'You can fool some of the people some times but you can not fool all the people all the time'.
About two weeks ago CHADEMA UK drafted and distributed letters to various national and international bodies and institutions objectively to appeal to the international community about the political...
Wengi walikuwa wamekuwa wakiuliza hivi kuna faida gani vyama vya kisiasa kufungua matawi nje? Sasa jibu limepatikana hapa. Kazeni buti muisaidie CHADEMA kwa kuuhabarisha ulimwengu kuhusu uharamia huu wa serikali na vyombo vyake. Nawapongeza sana kwa kazi nzuri.
Sasa naona magamba wameshikwa pabaya. Viongozi kwenda kujichekesha chekesha wakidanganya eti hii nchi ina amani hii ndiyo dawa yao. Kazi nzuri makamanda UK
Tarehe 26/02/2013 waziri wa nishati na madini Prof Dk Sospeter Muhongo alikutana na watanzania waishio UK. Watanzania wengi kutoka sekta mbalimbali walihudhuria.
Japokuwa mahudhurio yalikuwa mazuri, matokeo ya mkutano kwa ujumla yalikuwa ni ya kusikitisha sana. Kwa wale waliohudhuria...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.