Hongereni vijana kwa kazi nzuri hii message ambayo CCM waliituma jumamosi kwa waTZ imefika. CCM wangekuwa wanaume wangemtuma Nape aje na Mchemba kuliko kutumia Polisi kufanya ugaidi.
Je ni kiongozi chama kipi alisema watahakikisha nchi haitatawalika? je ni kiongozi wa chama kipi alisema wanahakikisha arusha watashinda kwa gharama yoyote? hiyo ni "circumstantial evidence" kuwa mauaji yote ya arusha yanapangwa na chadema ili watu waichukie serikali yao. Kumbuka kesi ya kupanga njama za mauaji iko mahakamani.
Ni vema wakaambatanisha na vielelezo, hasa katika nchi ambazo zina uhusiano wa karibu na Tanzania.
Naona matamko bila muongozo yameanza kabla hata ya tamko la makao makuu?
Hii ndio tatizo la kuwa na akili nyingi zaidi ya kichwa
Haya wahi kupiga boksi kabla hujachelewa !