Mungu alimpa Adamu uhuru wa kuchagua kujua mema tu ama pamoja na mabaya lakini amlimshauri achague mema tu. Lakini Eva alimshawishi Adam ale tunda.
Hapo hakuna aliyekosea.
Swali: we umejuaje yule nyoka alikuwa shetani???
Ili hali hio itoweke mwamibi Kristo ukubali kuwa mwanafunzi wake.
Amini dhambi zako zote zimesamehewa (past, present & future) kwakuwa umehesabiwa haki kwa Imani kisha upo huru kufanya lolote unalotaka na haitahesabiwa kuwa dhambi.
La mwisho uache kusikiliza wahubiri feki wanakuhubiria dhambi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.