Recent content by Innocent boy

  1. I

    bwana heslb huyooooo

    mkopo ni serious issue.taarifa zisizokuwa rasmi tuziache na tusitake umaarufu kirahisi,mambo yakiwa sawa tutajua na tulieni msiwe na pressure kwani mkizipata mtazila zitaisha tu ndugu zangu
  2. I

    Kuna pre-entry test UDSM?

    Kikubwa nione majina maana nasikia nipo ila nataka kucomfirm
  3. I

    Kuna pre-entry test UDSM?

    Tafadhali tuwekeeni majina ya waliochaguliwa udsm,huku vijijini tulipo tunatumia simu na wala sio compyuta hivyo bila msaada wenu hatuwezi kuijua hatima yetu
  4. I

    Kuna pre-entry test UDSM?

    Nisaidie waliochaguliwa mwaka huu udsm mi natumia simu kaka
  5. I

    List of Students Selected to Join undergraduate Programmes 2012-2013 UDOM

    Tunaotumia simu inatuuma kusikia yametoka ila simu zinashindwa tafadhali wakuu yawekeni tuyaone
  6. I

    Wasiochaguliwa tcu

    Dah asante yesu maana simo
  7. I

    Tundu Lissu ni mfitini na asiye na akili timamu - Muhammad Chomboh

    Wanasiasa wamalize tofauti zao na sio kukashifiana
Back
Top Bottom