100% ndugu yangu.... Wazee wako kabla yako hata na babu yako walikuwa wana mbinu zao katika utafutaji, Hizo mbinu hurithiwa Sasa wewe Sasa hujui lolote ndio hapo unajikuta huna hili Wala lile!
Ungekuwa unajua kumakinika ungerudia kusoma..... Nipoteze ada miaka nane ya Kuwa jobless au ukiwa jobless unalipia ada? Maono haya yamekuwa yakija nikiwa nishamaliza skul!
Jipange ukosoe Tena!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.