Badili mindset yako, pia badili watu unaowaangalia sana.
wao ndiyo wanafanya mtu uendelee na punyeto au uache
angalia sana influence ya watu unaowasoma.
PUNYETO ni janga la vijana wengi na pengine hadi watu wakubwa kabisa.
PUNYETO inaweza ikakutesa mwili, akili, roho na nafsi.
Hata mimi nilikua huko, ila nimeweza kuacha na kuwa huru.
Japo unaweza kujipa moyo kwa kuungana au kusoma post zingine za wapiga punyeto,
Lakini, ukweli unabaki kwako...
PUNYETO ni janga la vijana wengi na pengine hadi watu wakubwa kabisa.
PUNYETO inaweza ikakutesa mwili, akili, roho na nafsi.
Hata mimi nilikua huko, ila nimeweza kuacha na kuwa huru.
Japo unaweza kujipa moyo kwa kuungana au kusoma post zingine za wapiga punyeto,
Lakini, ukweli unabaki kwako...
PUNYETO ni janga la vijana wengi na pengine hadi watu wakubwa kabisa.
PUNYETO inaweza ikakutesa mwili, akili, roho na nafsi.
Hata mimi nilikua huko, ila nimeweza kuacha na kuwa huru.
Japo unaweza kujipa moyo kwa kuungana au kusoma post zingine za wapiga punyeto,
Lakini, ukweli unabaki kwako...
Kama mawazo hasi, mawazo ya kujiua, mawazo ya kujihisi mpweke, mawazo ya kukataliwa au mawazo yoyote yanayokufanya ukose amani ya moyo basi ujumbe huu unakufaa sana, ujitahidi ufanye hivi.
Kila mtu hupatwa na mawazo hasi kwa namna moja au nyingine katika muda tofauti.
… ila kinachojalisha...
Na mimi huwa natumia hizi njia kama naona nna mawazo sana. Kwaiyo nawe zinaweza kukusaidia.
Stress huanzia pale unapokubali kuendeshwa na mawazo yanayokujia.
Bongo zetu ni mashine za mawazo, bila kujali ni mazuri au mabaya. Yenyewe inachapisha tu.
Sasa pale ubongo unapochapisha mawazo mabaya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.