Recent content by incharge

  1. I

    JamiiForums Tanzania Trafiki andrew aliyehusika na tukio la ugomvi lugalo leo huwa anatabia ya kufokea madereva

    Na wao wana watoto na wanafamilia, huwa wanaumwa sasa hilo beef waliolianzisha na madaktari mshindi ni mmoja tu, waache kujichukulia sheria wanatakiwa wasimamie sheria, kwanza polisi hakutakiwa kuchukua funguo za mtu ,pili hadi kupigwa lazima ali mprovoke yule daktari, tatu polisi kama...
  2. I

    JamiiForums Tanzania Ndugu zetu waislamu hebu legezeni kamba za imani, kiongozi wa kitaifa akitangulia isiwe tangazo la msiba saa nne, saa nne, saa saba maziko

    Kasome john 13, na matayo 26 36 , yesu alikuwa anasali kwa kusujudu
  3. I

    JamiiForums Tanzania Ndugu zetu waislamu hebu legezeni kamba za imani, kiongozi wa kitaifa akitangulia isiwe tangazo la msiba saa nne, saa nne, saa saba maziko

    Huna unachojua zaidi ya kutoa sababu kutokana na uwezo wako mdogo wa kufikiri , hujui kama zamani watu ikiwemo waarabu walikuwa na uwezo wa kuhifadhi hata nyama kwa njia zao na inakaa muda mrefu bila ya kuharibika? mtu amekufa unataka ukae na mwili muda mrefu ili iwe nini? Maiti nyumbani kwake...
  4. I

    JamiiForums Tanzania Nadili vipi na huyu mzungu msumbufu asietaka kulipa deni langu.

    Ilikuwaje mkakopana kwenye biashara ya nyumba, biashara ya bnb au kupangisha nyumba ni payment in advance siku zote
  5. I

    JamiiForums Tanzania Nani anafaa kuwa Makamu wa Rais mpya wa Tanzania?

    Kitila mkumbo
  6. I

    JamiiForums Tanzania Nani anafaa kuwa Makamu wa Rais mpya wa Tanzania?

    Yes
  7. I

    JamiiForums Tanzania Kumfunga pingu Mwekezaji wa Mabasi ya Tilisho ni udhalilishaji, Vitisho na Ulevi wa madaraka

    Yes na amestahili alichofanyiwa, sasa mabasi yalishapewa notice na serikali kwamba ikifika tarehe hii msionekane shekilango yeye ni kiburi kinamsumbua, na ana bahati sana,alitakiwa akae hata aiku tatu ili iwe fundisho kwa watu wanaofharau amri halali za serikali kisa hela, mbona kina bakhressa...
  8. I

    JamiiForums Tanzania Kumfunga pingu Mwekezaji wa Mabasi ya Tilisho ni udhalilishaji, Vitisho na Ulevi wa madaraka

    Amri haramu zina njia zake kisheria kuzi challenge na watu wengi tu wameishinda serikali, alichokifanya tilisho kisipodhibitiwa nchi itakuwa kama congo kila mtu mtemi, tusitetee ujinga
  9. I

    JamiiForums Tanzania Kumfunga pingu Mwekezaji wa Mabasi ya Tilisho ni udhalilishaji, Vitisho na Ulevi wa madaraka

    Upo sahihi hatuna jema sasa mtu anapinga amri halali ya serikali tena hadharani wanataka abembelezwe labda ,tena enzi za magufuli angekaa ndani hata mwezi kudadeki zake
  10. I

    JamiiForums Tanzania Kumfunga pingu Mwekezaji wa Mabasi ya Tilisho ni udhalilishaji, Vitisho na Ulevi wa madaraka

    Sasa eneo limefungwa na serikali kutumika yeye analeta kiburi na dharau kwa mamlaka anafungua ,hapo kweli utailaumu mamlaka? Ajitambue na yeye vipesa kidogo tu anavimba mabega, alistahili alichpfanyiwa
  11. I

    JamiiForums Tanzania Kaskazini hakuna boya

    Hawa hadi wabunge tu wanapangiwa na huku wanashangilia huwa ni watu wa tamaa tu hawana jipya
  12. I

    JamiiForums Tanzania Pakistan: Mchoma matofali mkristo achinjwa baada ya kunywa maji katika chombo wanachotumia wafanyakazi wenzake waislam

    Tukio la kulaani wote ni bimaadamu na hatuna budi kuishi kwa pamoja kwa upendo na kuvumiliana
  13. I

    JamiiForums Tanzania Sifurahii kufanya kazi na natamani kuacha kazi kwasababu hapa ninapofanyia kazi incharge nimemzidi GPA na yeye ana elimu ya kuunga unga

    Wewe utachanganyikiwa na maisha yatakushinda, kazini huwa hatuangalki gpa tunaamgalia skills wewe hangaika na gpa uone kama hata hiyo kazi haijakushinda, ukienda private sectors wazungu wanataka matokeo sio vyeti vyako na gpa, ndio maana watanzania wengi hatuuziki soko la ajira bado tuna mtazamo...
  14. I

    JamiiForums Tanzania Polisi: Tunamhoji Peter Madeleka kwa Tuhuma za kudharau amri ya Mahakama Kuu

    Hapa kuna kuchanganya mambo, wakili madeleka ni afisa wa mahakama kisheria, sasa ugomvi wa tafsiri ya sheria au kanuni za mahama na afisa wa mahakama polisi anaingiaje?
Back
Top Bottom