Recent content by incharge

  1. I

    Vita ya USA Israel na Iran wote wameishiwa ADS imekua piga nikupige

    MArekani kadandia mtumbwi wa vibwengo safari hii
  2. I

    Iran na Mlango bahari wa Hormuz waanza kutepeta

    the fact kwamba iran ndio ana control nani apite na nani asipite kitu ambacho hakijakuwepo kabla ya vita ndio kutofanikiwa kwa mipango ya maneberu sasa hapo kuna kitu cha kufurahia kweli?
  3. I

    Viongozi na wanasiasa ishini vizuri na raia, kuna kifo na ukifa ukiwa na ubaya na raia basi watafurahia kifo chako

    Hata wakifurahi inasaidia nini? Maiti sehemu yake kaburini sema matendo yako unayofanya utaenda kukutana nayo kwa mungu, na vile vile dhambj yoyote unayofanya kwa makusudi usipolipa wewe basi kizazi chako kitalipa
  4. I

    Pakistan yaipigia magoti Israel kuiomba isiwaue Abbas Araqchi na Mohammed Bakari kwani ni watu muhimu kwenye mazungumuzo.

    Porojo tupu huyo trump haaminiki sehemu yoyote anajisemesha baada ya kuona mambo magumu na approval rate yake marekani imeshuka to the lowest level ever, hadi sass kakosa plan ya vita anaongea vitu hata mvuta bangi hawezi kuongea, marekani haijawahi kudhalilika kama kipindi hichi cha trump Hadi...
  5. I

    Pakistan yaipigia magoti Israel kuiomba isiwaue Abbas Araqchi na Mohammed Bakari kwani ni watu muhimu kwenye mazungumuzo.

    Tulia dawa iingie acheni porojo ,acha tuonyeshane kazi, with the mosaic theory ya iran ,marekani amegundua nothing will ever change kwenye vita watu wanapeleka moto tu kutoka kila pande ,na wanatandika kila mali ya adui popote ilipo Mlango wa kutokea babu yenu hauoni sasahivi kabakia kutunga...
  6. I

    Magufuli na Makonda watawaweza 'watoto wa mjini'?

    Sasa ndio kabla hujamfananisha na mbowe ambaye kashamaliza kila kitu ,subiri kwanza tuone kama na yeye lissu ataweza kuhimili hivi vishindo na akainuka tena
  7. I

    Magufuli na Makonda watawaweza 'watoto wa mjini'?

    Yuko wapi huyo lissu? Mbowe yupo anaendelea na dili zake huku anapiga whisky, ukiwa mtoto wa mjini lazima uwe na plan A, B na C
  8. I

    Jenerali Muhoozi: Uganda ipo tayari kuisaidia Israel

    Wanaitetea israel akili zao wote zinafanana
  9. I

    Hivi ile project ya Kilimo ya BBT iliishia wapi?

    Haujawahi kuanza vizuri ule ulikuwa ni wizi wa mchana kweupe, kama unataka kusaidia watanzania, punguza kodi na weka incentives na subsidies kwenye supply chain ya kilimo, ila kuchukua hela cash eti kulipa vijana na kununua mashamba sijui ni wizi tu na kuchezea kodi zetu, imagine ni billions za...
  10. I

    Mkurugenzi mstaafu wa ujasusi Uingereza: Iran amemzidi Marekani kwenye hii vita

    Wewe aliyekuathiri ni that stupid old man na yule shetani mwenzake kutoka poland ,iran hajawahi kumchokoza mtu yoyote wala kuvamia nchi yoyote
  11. I

    Mkurugenzi mstaafu wa ujasusi Uingereza: Iran amemzidi Marekani kwenye hii vita

    Hawa hawa wanaobaka na kulawiti watoto kwenyevkisiwa cha epstein au wengine?
  12. I

    Kwa hiyo Iran wameshindwa kabisa kulipiza kisasi dhidi ya Netanyahu?

    Kila kitu na wakati wake na kila mtu kwenye vita ana mbinu zake ,huwezi kulazimisha atumie mbinu zako, wewe tulia tuone trump anavyosemesha kila siku ndio ujue mtu mzima kabanwa pumbu
Back
Top Bottom