Recent content by incharge

  1. I

    JamiiForums Tanzania Kaskazini hakuna boya

    Hawa hadi wabunge tu wanapangiwa na huku wanashangilia huwa ni watu wa tamaa tu hawana jipya
  2. I

    JamiiForums Tanzania Pakistan: Mchoma matofali mkristo achinjwa baada ya kunywa maji katika chombo wanachotumia wafanyakazi wenzake waislam

    Tukio la kulaani wote ni bimaadamu na hatuna budi kuishi kwa pamoja kwa upendo na kuvumiliana
  3. I

    JamiiForums Tanzania Sifurahii kufanya kazi na natamani kuacha kazi kwasababu hapa ninapofanyia kazi incharge nimemzidi GPA na yeye ana elimu ya kuunga unga

    Wewe utachanganyikiwa na maisha yatakushinda, kazini huwa hatuangalki gpa tunaamgalia skills wewe hangaika na gpa uone kama hata hiyo kazi haijakushinda, ukienda private sectors wazungu wanataka matokeo sio vyeti vyako na gpa, ndio maana watanzania wengi hatuuziki soko la ajira bado tuna mtazamo...
  4. I

    JamiiForums Tanzania Polisi: Tunamhoji Peter Madeleka kwa Tuhuma za kudharau amri ya Mahakama Kuu

    Hapa kuna kuchanganya mambo, wakili madeleka ni afisa wa mahakama kisheria, sasa ugomvi wa tafsiri ya sheria au kanuni za mahama na afisa wa mahakama polisi anaingiaje?
  5. I

    JamiiForums Tanzania Iran na nguvu zake alizonazo ameshindwa nini kuvunja US Naval blockade?

    Hivi unafuatilia kweli habari za kimataifa? Nani aliyeblock ? Iran ndio kablock ,juzi vimeli vya mafuta vya UAE vimetandikwa kama chapati, hata sijui unaongelea kitu gani, Haya hao usa wameshindwa hata kuwapa chakula askari wao kwenye meli yao ya kivita hadi wamecjanganyikiwa wakauana wenyewe...
  6. I

    JamiiForums Tanzania Padre Kitima Ameanza Kuwa Mnyenyekevu Na Heshima na Kutambua Kuwa Rais Na Taasisi Ya Urais Haichezewi Wala Huwezi Kushindana nayo ama kuiletea Dharau.

    Hata kama mtu humpendi kwa sababu yoyote ile lazima uheshimu mamamlaka utakukuruka mwisho wa siku ni raisi wa nchi na uraisi ni taasisi ,unawajibika kuheshimu na kwa ufupi tu hakuna taasisi yoyote kwenye nchi hii inaweza kuiteteresha taasisi ya uraisi mengine ni kudanganyana tu ,haya kiko wapi?
  7. I

    JamiiForums Tanzania Kwa miaka hii kuendelea kutamba kwamba umezaliwa Dar es Salaam ni aina nyingine ya ushamba unaotakiwa kuachwa mara moja

    Si unaona dar ilivyo tamu hadi unaiwekea na mipango ya baadae
  8. I

    JamiiForums Tanzania Kwa miaka hii kuendelea kutamba kwamba umezaliwa Dar es Salaam ni aina nyingine ya ushamba unaotakiwa kuachwa mara moja

    Hata huko kwenu wapo wanaoishi familia chumba kimoja, punguza makasiriko siyo kosa lao kuzaliwa dar, ni mungu alipanga iwe hivyo ,wivu wa nini?
  9. I

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Kijana Kitanzania kumvisha pete Mtoto wa Rais wa Kenya,Charlene Ruto

    haya au hutaki kukubali bahati ya mwenzio
  10. I

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Kijana Kitanzania kumvisha pete Mtoto wa Rais wa Kenya,Charlene Ruto

    Ni kweli magazeti mengi ya kenya yameandika leo
  11. I

    JamiiForums Tanzania Kwa miaka hii kuendelea kutamba kwamba umezaliwa Dar es Salaam ni aina nyingine ya ushamba unaotakiwa kuachwa mara moja

    Cha ajabu kipo ndio maana watu wanajazana dar na ndio maana hata wewe unawaonea wivu waliozaliwa dar, na ndio kitovu cha uchumi cha nchi si ungebaki huko nanjilinji, ila nakuhakikishia ukishaingia dar kurudi huko kwenu ni ngumu, hapa kuna kila kitu kulinganisha na mikoa mingine kwa hapa bongo...
  12. I

    JamiiForums Tanzania Kwa miaka hii kuendelea kutamba kwamba umezaliwa Dar es Salaam ni aina nyingine ya ushamba unaotakiwa kuachwa mara moja

    Acha hasira hata wewe mwenyewe unataka uishi dar na watoto wako uwaachie mazingira mazuri waishi dar
  13. I

    JamiiForums Tanzania Vitol Bahrain A.c ni partner mkubwa wa Dangote. Samia asidhani anamkomoa kujenga refinery Tanga

    Ndio akili yako ilipoishia mkitoka hapo mnadanganyana mkaandamane wapuuzi wakubwa
Back
Top Bottom