Hivi na wewe na akili zako unaweza ukaamini kitu chochote anachoongea trump, keshachanganyikiwa huyo mzee leo wenzake wanaendelea kupitisha meli kama kawaida na kaufyata
Hii vita watu waliingia bila ya strategy marekani na israel wanaenda kuaibika ,nchi za ulaya zilijua haya yote ndio maana walikataa mapema kuingia kichwa kichwa
Na ground invasion ndio wasithubutu maana hawajawahi kufanikiwa hata vita moja, from vietnam, afghanistan, hezbollah 2006, na sasa iran...
kwahiyo tukusikilize wewe na gwajima? Tuache verified information kutoka aljazeera???? Akili zako wewe , ndio maana mnadanganywa sijui mtu anafufuliwa mnaamini ,very low thinking capacity, hivyo unadhani aljazeera anajiandikia tu anachotaka?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.