Recent content by incharge

  1. I

    JamiiForums Tanzania The most polite countries in the world, surprise no muslims!

    Inaonyesha siyo tu hajafika southafrica bali hana exposure kabisa
  2. I

    JamiiForums Tanzania Trump: Meli itakayolipa ushuru kwa Iran kukamatwa

    Hivi na wewe na akili zako unaweza ukaamini kitu chochote anachoongea trump, keshachanganyikiwa huyo mzee leo wenzake wanaendelea kupitisha meli kama kawaida na kaufyata
  3. I

    JamiiForums Tanzania Trump: Papa Leo XIV ni dhaifu, simshabikii

    Ushirika wa wachawi haudumu
  4. I

    JamiiForums Tanzania Rubani wa Artemis II ahubiri Injili akiwa anga za juu!!

    Evil and intelligence goes hand in hand, kama ulikuwa hujui
  5. I

    JamiiForums Tanzania Marekani imekubali kuachilia mali za Iran zilizozuiliwa zilizoshikiliwa Qatar na benki zingine za kigeni, chanzo kikuu cha Iran kiliambia Reuters

    Akili za trump kama za wachungaji wa bongo tu nini hii sasa, unakuwaje na raisi mjinga hivi
  6. I

    JamiiForums Tanzania Toa ushahidi ni wapi umewahi ona mwanamke mwenye makalio makubwa akawa na akili popote pale Duniani?

    Ushahidi huo kutoka research ya marekani ,haya una lingine tuachie midude yetu, wewe hangaika na hiyo mifupa yako kama fisi
  7. I

    JamiiForums Tanzania Marekani yaomba Ceasefire kwa masaa 48, Iran yakataa

    Hii vita watu waliingia bila ya strategy marekani na israel wanaenda kuaibika ,nchi za ulaya zilijua haya yote ndio maana walikataa mapema kuingia kichwa kichwa Na ground invasion ndio wasithubutu maana hawajawahi kufanikiwa hata vita moja, from vietnam, afghanistan, hezbollah 2006, na sasa iran...
  8. I

    JamiiForums Tanzania Wakazi: Tunatengua hukumu ya kumlipa Baba Levo Tsh. Milioni 100, hukumu yenyewe tuliiona mtandaoni

    Setting aside exparte judgement is easy na umefanikiwa jiulize utatoboa
  9. I

    JamiiForums Tanzania Gerson Msigwa: Gharama za uwanja wa Arusha zimeongezeka baada ya CAF kusema tuongeze Vitu

    Dah kutetea ujinga huu kwa dunia hii ya sasa ni jambo gumu sana
  10. I

    JamiiForums Tanzania Iran na Mlango bahari wa Hormuz waanza kutepeta

    Ni bora kuliko mtu anayekiita kiumbe kilichozaliwa na mwanamke mungu, ila cha ajabu huyo mungu nae alivyopigwa na wayahudi akaomba msaada kwa mungu
  11. I

    JamiiForums Tanzania Iran na Mlango bahari wa Hormuz waanza kutepeta

    kwahiyo tukusikilize wewe na gwajima? Tuache verified information kutoka aljazeera???? Akili zako wewe , ndio maana mnadanganywa sijui mtu anafufuliwa mnaamini ,very low thinking capacity, hivyo unadhani aljazeera anajiandikia tu anachotaka?
Back
Top Bottom