the fact kwamba iran ndio ana control nani apite na nani asipite kitu ambacho hakijakuwepo kabla ya vita ndio kutofanikiwa kwa mipango ya maneberu sasa hapo kuna kitu cha kufurahia kweli?
Hata wakifurahi inasaidia nini? Maiti sehemu yake kaburini sema matendo yako unayofanya utaenda kukutana nayo kwa mungu, na vile vile dhambj yoyote unayofanya kwa makusudi usipolipa wewe basi kizazi chako kitalipa
Porojo tupu huyo trump haaminiki sehemu yoyote anajisemesha baada ya kuona mambo magumu na approval rate yake marekani imeshuka to the lowest level ever, hadi sass kakosa plan ya vita anaongea vitu hata mvuta bangi hawezi kuongea, marekani haijawahi kudhalilika kama kipindi hichi cha trump
Hadi...
Tulia dawa iingie acheni porojo ,acha tuonyeshane kazi, with the mosaic theory ya iran ,marekani amegundua nothing will ever change kwenye vita watu wanapeleka moto tu kutoka kila pande ,na wanatandika kila mali ya adui popote ilipo
Mlango wa kutokea babu yenu hauoni sasahivi kabakia kutunga...
Sasa ndio kabla hujamfananisha na mbowe ambaye kashamaliza kila kitu ,subiri kwanza tuone kama na yeye lissu ataweza kuhimili hivi vishindo na akainuka tena
Haujawahi kuanza vizuri ule ulikuwa ni wizi wa mchana kweupe, kama unataka kusaidia watanzania, punguza kodi na weka incentives na subsidies kwenye supply chain ya kilimo, ila kuchukua hela cash eti kulipa vijana na kununua mashamba sijui ni wizi tu na kuchezea kodi zetu, imagine ni billions za...
Kila kitu na wakati wake na kila mtu kwenye vita ana mbinu zake ,huwezi kulazimisha atumie mbinu zako, wewe tulia tuone trump anavyosemesha kila siku ndio ujue mtu mzima kabanwa pumbu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.