Wewe utachanganyikiwa na maisha yatakushinda, kazini huwa hatuangalki gpa tunaamgalia skills
wewe hangaika na gpa uone kama hata hiyo kazi haijakushinda, ukienda private sectors wazungu wanataka matokeo sio vyeti vyako na gpa, ndio maana watanzania wengi hatuuziki soko la ajira bado tuna mtazamo...
Hapa kuna kuchanganya mambo, wakili madeleka ni afisa wa mahakama kisheria, sasa ugomvi wa tafsiri ya sheria au kanuni za mahama na afisa wa mahakama polisi anaingiaje?
Hivi unafuatilia kweli habari za kimataifa? Nani aliyeblock ? Iran ndio kablock ,juzi vimeli vya mafuta vya UAE vimetandikwa kama chapati, hata sijui unaongelea kitu gani,
Haya hao usa wameshindwa hata kuwapa chakula askari wao kwenye meli yao ya kivita hadi wamecjanganyikiwa wakauana wenyewe...
Hata kama mtu humpendi kwa sababu yoyote ile lazima uheshimu mamamlaka utakukuruka mwisho wa siku ni raisi wa nchi na uraisi ni taasisi ,unawajibika kuheshimu na kwa ufupi tu hakuna taasisi yoyote kwenye nchi hii inaweza kuiteteresha taasisi ya uraisi mengine ni kudanganyana tu ,haya kiko wapi?
Cha ajabu kipo ndio maana watu wanajazana dar na ndio maana hata wewe unawaonea wivu waliozaliwa dar, na ndio kitovu cha uchumi cha nchi si ungebaki huko nanjilinji, ila nakuhakikishia ukishaingia dar kurudi huko kwenu ni ngumu, hapa kuna kila kitu kulinganisha na mikoa mingine kwa hapa bongo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.