Na wao wana watoto na wanafamilia, huwa wanaumwa sasa hilo beef waliolianzisha na madaktari mshindi ni mmoja tu, waache kujichukulia sheria wanatakiwa wasimamie sheria, kwanza polisi hakutakiwa kuchukua funguo za mtu ,pili hadi kupigwa lazima ali mprovoke yule daktari, tatu polisi kama...
Huna unachojua zaidi ya kutoa sababu kutokana na uwezo wako mdogo wa kufikiri , hujui kama zamani watu ikiwemo waarabu walikuwa na uwezo wa kuhifadhi hata nyama kwa njia zao na inakaa muda mrefu bila ya kuharibika?
mtu amekufa unataka ukae na mwili muda mrefu ili iwe nini? Maiti nyumbani kwake...
Yes na amestahili alichofanyiwa, sasa mabasi yalishapewa notice na serikali kwamba ikifika tarehe hii msionekane shekilango yeye ni kiburi kinamsumbua, na ana bahati sana,alitakiwa akae hata aiku tatu ili iwe fundisho kwa watu wanaofharau amri halali za serikali kisa hela, mbona kina bakhressa...
Amri haramu zina njia zake kisheria kuzi challenge na watu wengi tu wameishinda serikali, alichokifanya tilisho kisipodhibitiwa nchi itakuwa kama congo kila mtu mtemi, tusitetee ujinga
Upo sahihi hatuna jema sasa mtu anapinga amri halali ya serikali tena hadharani wanataka abembelezwe labda ,tena enzi za magufuli angekaa ndani hata mwezi kudadeki zake
Sasa eneo limefungwa na serikali kutumika yeye analeta kiburi na dharau kwa mamlaka anafungua ,hapo kweli utailaumu mamlaka? Ajitambue na yeye vipesa kidogo tu anavimba mabega, alistahili alichpfanyiwa
Wewe utachanganyikiwa na maisha yatakushinda, kazini huwa hatuangalki gpa tunaamgalia skills
wewe hangaika na gpa uone kama hata hiyo kazi haijakushinda, ukienda private sectors wazungu wanataka matokeo sio vyeti vyako na gpa, ndio maana watanzania wengi hatuuziki soko la ajira bado tuna mtazamo...
Hapa kuna kuchanganya mambo, wakili madeleka ni afisa wa mahakama kisheria, sasa ugomvi wa tafsiri ya sheria au kanuni za mahama na afisa wa mahakama polisi anaingiaje?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.