Habari, wadau naomba ushauri wa vidonge vizuri vya (calcium supplements).
Nina tatizo mfupa wa mguu ulivunjika. Nataka calcium ili kusaidia kuunga faster. Balanced diet najitahidi kula.
Asanteni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wadau,
Kama kichwa cha habari kinavyosema, matibabu hospital nimepata, ila naomba ushauri kama kama kuna supplement au dawa yeyote itakayonisaidia kuunga mfupa na haraka zaidi.
Christmas njema
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah
Imenikuta hii issue...ilikuwa kila nikienda kwa ajili ya operation naambiwa next week
Mpaka nikasepa hospital private
Dah shida
Sent using Jamii Forums mobile app
Yani unaends bar , mhudumu anakuomba bia unaruhusu apewe, matokeo yako atajizungusha wee.....kinywaji asinywe na anasuka mpango kaunta wanampa hela baada ya kile kinywaji..
Wanaboa sana,,,,kutuona wateja maboya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.