Recent content by Inanambo

  1. Inanambo

    Hivi ni nani alipitisha Kikokotoo, mbona Wabunge wa CCM wanakikataa, au ni Utapeli wa kisiasa kuelekea Uchaguzi?

    Hakika hata na haraka kihivyo. Magufuli alisema kianze July 2023 wao wakasema kinacheleweshwa. Unamlipa MTU Mafao ya Kikokotoo ambayo hakuwahi kupanda cheo wala kuongezwa Mshahara miaka 10.
  2. Inanambo

    Joseph Musukuma: Kikokotoo kinawaumiza wananchi, tunatengeneza taifa la wezi

    Mtumishi WA Umma anapokea M4😡😡😡😭😭😭Umma gani ho tuhamie huko????
  3. Inanambo

    Kikokotoo turufu ngumu kwa CCM na Serikali yake

    Walioko kwenye Ajira mda huu hawajui maumivu ya Kikokotoo. Watayasikia Wakishastaafu. Wastaafu wanaungana wapi na Kila Mtu kesharudi kwao??
  4. Inanambo

    Hili shairi liwafikie wabunge na viongozi wa vyama vya wafanyakazi

    Tumezeeka Nguvu za kutembea hatuna. Ila Mbowe ukifanya Maandamano please bebeni Bango la Kikokotoo. Wazee tunakufa kwa Stress na Madeni.
  5. Inanambo

    Uteuzi na Utenguzi: Paul Makonda ateuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha. Ndalichako aondolewa uwaziri

    Asante Maza kwa kumuondoa Profesa Ndalichako. Huyu ni Disaster kwa Wastaafu. Alishikilia na kupitisha Sheria Ya Kikokotoo. Daah mpeleke mtaani akakutane na mazara ya Kikokotoo alichopitisha.
  6. Inanambo

    Nini hatima ya Wakristo walio Zanzibar kwenye sherehe za Pasaka baada ya zuio la kula mchana wakati huu wa Ramadhan?

    Asante sana Yesu Kristo. Hakika hatatokea mwingine mwenye Mafundisho kama yako. Wengine ni kulazimisha tuu.
  7. Inanambo

    Nini hatima ya Wakristo walio Zanzibar kwenye sherehe za Pasaka baada ya zuio la kula mchana wakati huu wa Ramadhan?

    Zanzibar ni Islamic Region ya Tanzania. Inatekeleza By-8 law the JMT. Kama Ulinzi shirikishi.
  8. Inanambo

    CAG: Wastaafu na wenza wao wanaigharimu NHIF Tsh 84.7 billion kila Mwaka Bila Wao kuchangia

    Bado Wachukue pesa ya Michango kwa kuwalipa via Kikokotoo System. Wakiwaacha kwenye Sonono na Madeni. Laana hii itawatafuna Hadi kizazi cha nne. Muda utasema. Usipostaafu kifo kitakupata. Kustaafu ni heshima na Baraka.
  9. Inanambo

    Kwani Mahubiri bila shuhuda kwani hayawezikani?

    Ushuhuda WA kunywa maji/ Mafuta MTU akanya Nyoka, Konokono, panya, nge. Hakika unatisha na kushangaza. Mwingine kanya jiwe na mjuc. Halafu baadaye akapona,akazaa, akapta KAZI, mume, mke, Mtoto n.k. Huniacha mdomo wazi.
  10. Inanambo

    Ujumbe wa Tundu Lissu kuhusu Hayati Ally Hassan Mwinyi

    Kindly man🤦🤦gunned down 🙆🙆
  11. Inanambo

    Ubabe wowote ule kuhusu suala la NHIF utazidisha mgogoro

    Kama Walivyolazimisha Wastaafu walipwe Mafao ya Kikokotoo. Hii Nchi haina Huruma Kwa Wazee na Wagonjwa
  12. Inanambo

    Kwa jinsi Waziri wa Afya alivyokuwa na maono, kinachofuata ni kuongeza makato kwa wachangiaji

    Hakuna Sector iliyosaidia Serikali kutoa Afya Kwa Wananchi kama Private hospitals. Huduma zao zilindwe na kuheshimiwa. Hivi mlishawahi kuumwa ukaenda Amana au Temeke au mwananyamala? Huko maybe Wana Huduma nzuri Kwa Martenal Health tuu. Msongamano mkubwa Daktari anakulipua ahudumie Wengine...
  13. Inanambo

    DOKEZO Wenye Hospitali binafsi wakataa kuwahudumia wateja wa NHIF kutokana na vifurushi vipya

    Sawa ngoja tukajipange huko Mwananyamala, Temeke, Mabwepande na Palestina hospitals tukisubiri Huduma za X-ray, Usb, echo, ECG, holter monitor, trademill, MRI, ctscan, dialysis, physiotherapy n.k
Back
Top Bottom