Hakika hata na haraka kihivyo. Magufuli alisema kianze July 2023 wao wakasema kinacheleweshwa. Unamlipa MTU Mafao ya Kikokotoo ambayo hakuwahi kupanda cheo wala kuongezwa Mshahara miaka 10.
Asante Maza kwa kumuondoa Profesa Ndalichako. Huyu ni Disaster kwa Wastaafu. Alishikilia na kupitisha Sheria Ya Kikokotoo. Daah mpeleke mtaani akakutane na mazara ya Kikokotoo alichopitisha.
Bado Wachukue pesa ya Michango kwa kuwalipa via Kikokotoo System. Wakiwaacha kwenye Sonono na Madeni. Laana hii itawatafuna Hadi kizazi cha nne. Muda utasema. Usipostaafu kifo kitakupata. Kustaafu ni heshima na Baraka.
Ushuhuda WA kunywa maji/ Mafuta MTU akanya Nyoka, Konokono, panya, nge. Hakika unatisha na kushangaza. Mwingine kanya jiwe na mjuc. Halafu baadaye akapona,akazaa, akapta KAZI, mume, mke, Mtoto n.k. Huniacha mdomo wazi.
Hakuna Sector iliyosaidia Serikali kutoa Afya Kwa Wananchi kama Private hospitals. Huduma zao zilindwe na kuheshimiwa. Hivi mlishawahi kuumwa ukaenda Amana au Temeke au mwananyamala? Huko maybe Wana Huduma nzuri Kwa Martenal Health tuu. Msongamano mkubwa Daktari anakulipua ahudumie Wengine...
Sawa ngoja tukajipange huko Mwananyamala, Temeke, Mabwepande na Palestina hospitals tukisubiri Huduma za X-ray, Usb, echo, ECG, holter monitor, trademill, MRI, ctscan, dialysis, physiotherapy n.k
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.