Trump anatukanwaaa mpaka anachorwa. Kama kosa lake ni kutukana angekamatwa ashtakiwe akakae selo. Hii kuvamiwa, kupigwa nyundo na kuburuzwa hadi damu zinachurizika siyo Ubinadamu.
Ina maana asingeletwa kuwa RC Arusha walikuwa hawana Mbunge? Huyu chati yake imepaa baada kuwa RC hapo Arusha. Gambo naye mmmh sijui Kunguru yupi kamnyea🙆🙆Ila kusema kweli sijawahi ona Leadership wala Managerial ya Gambo tangu akiwa RC.
Makonda siyo Mkaazi wala Mzawa wa Arusha. Amepitishwa hapo kikazi. Hao uliiwataja wana Sifa ya Makazi na Uzawa. Basi wewe nyanyuka ulipo nenda ZNZ au Pemba ukatangaze kugombea.
Kwenye Press release ya Gwajima kosa lake ni nini katika yale aliyoyasema? Maskini Mdude, Soka, nilizani Watekaji watakemewa wawàrudishe.😭😭 ndiyo hivyo tena. Mungu wa Miujiza ebu dhihirisha uwepo wako utupe Kitendawili cha hawa Watekwaji.
Mimi tangu aliposaini mafao ya Kikokotoo kwa Wazee wastaafu furaha yangu kwake ilifutika. How comes Mtumishi ametumikia Nchi 40 years anapitisha apewe 35M ilihali alistahili 120M. ?? Kwani hakuweza kuona wenye mishahara midogo wakipewa Mafao ya Kikokotoo unawaharibia maisha yao ya Uzeeni? Hajui...
Si ndiyo wamesema mkajibishane na Mabaraza ya Vitongoji na Mitaa siyo saizi yenu. Mwenye Elimu hawezi kujibu hoja kwa njia za Mipasho. Hoja vs Hoja. Mnaita watu Kenge why? Professor Muhongo anaweza hivyo au Dr Mwakyembe? Elimu muhimu kwa Wabunge.
Kununua Chakula cha ziada kwa Jirani ubaya uko wapi? Hatuwapi bure wanakuja kuongezea Wakulima wetu Kipato. Hata Tz tulishanunua Mahindi Malawi nà Zimbabwe. Hamtaki kaeni nayo muwape Mifugo wataenda Uganda na Ethiopia kununua au wataimport toka USA. "Money speaks"
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.