Recent content by Imvubhu

  1. Imvubhu

    Serikali yabadilisha kampuni ya TTCL kuwa Shirika la Umma

    Duu. Uko hasi sana kiongozi . Utafanya hata waliopewa majukumu ya kulisogeza mbele wakate tamaa. Wapewe muda ingawa kuna hoja mbele yake. Ngoja tuone kazi yake.
  2. Imvubhu

    Serikali yabadilisha kampuni ya TTCL kuwa Shirika la Umma

    Ni kweli, lkn biashara na jina vina maana kiongozi. linaakisi mtazamo wa wapi tunakwenda na msingi wa utendaji kazi. kuitwa shirika la umma, hapo tutegemee na utendaji wa mlolongo wa masharti katika maamuzi na kupunguza ufanisi.
  3. Imvubhu

    MTWARA: RC aongoza ujenzi wa madarasa ya shule ya wanafunzi waliokuwa wakisomea chini ya mkorosho

    Hongera waandishi mlioibua changamoto za shule. sasa imekuwa ya kutokea kwa baadhi huku vijana wakiendelea kujipanga kwa madarasa mapya. Tembelea shule nyingine kama hizo ziko mikoa mingi hapa tanzania.
  4. Imvubhu

    Serikali yabadilisha kampuni ya TTCL kuwa Shirika la Umma

    Hili ni jina fake. Communication maana yake nini. Wangeiita Tanzania Telcom kama zamani wala halikuwa na shida. Lkn kubadili na kuweka jina lisilo na maana, naona haijakaa vema. Ni mtazamo tu. wataalam mje kusaidia hapa.
  5. Imvubhu

    Siku ya Sheria: No mention of Tundu Lissu!, Je ni amesahaulika tu kutajwa, amepuuzwa au ameepukwa?!.

    Intended.Huyo msaidizi pia alionywa , endapo utaleta....itakula kwako. fyata mkia style. pia wanaishi kwa hisia zaidi
  6. Imvubhu

    Serikali yabadilisha kampuni ya TTCL kuwa Shirika la Umma

    HUDUMA NI SWALA UPENDACHO NDIO UTAKULA. Waboreshe huduma, tuko wengi. anayetoa huduma yenye thamani ya kwa mteja ndiye mshindi.
  7. Imvubhu

    Itungwe sheria maalumu kuzuia mafisadi kugombea nafasi za uongozi wa juu wa nchi yetu

    Kiongozi, sheria zipo wazi kabisa. zilizopo zinatosha na mahakama zipo. hatuwezi kutunga sheria ya tuhuma. tuache kuishi kwa hisia na tuhuma tuhuma kwa sababu binafsi za kutompenda mtu. katafakari vema hoja, iko chini ya kiwango.
  8. Imvubhu

    Serikali kutumia shilingi Mil.700 kubomoa jengo la TANESCO

    Sheria ipi inatekelezwa kwenye huo ubomoaji. itaje hapa kwenye uwazi.
  9. Imvubhu

    Jeshi la Polisi lamjibu Waziri Kigwangalla, lasema halifanyi kazi kwa mashinikizo

    Polisis hawaongozwi na sheria ya utumishi wa umma. wana sheria yao
  10. Imvubhu

    Rais Magufuli ateunga uteuzi wa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Butiama

    Mfumo ndio tatizo . Pia, kuna tatizo kubwa la wateule wengi kuwa wababe badala ya kuongoza watu. TBA yatawakuta pia kwa miradi mikubwa waliyopata, hawana capacity ya kujenga miundo mbinu kama invyodhaniwa. Miradi mingi inaweza kushindwa kufikia malengo. Umakini unahitajika zaidi.
  11. Imvubhu

    Muswada wa kuunganisha mifuko unapunguza mafao; walio LAPF na PSPF kulipwa kiduchu kama NSSF ya sasa

    SERIKALI NDIYO ILIYOFILISI KWANI ILIBAMBIKIZA NA MADENI YA NYUMA YA MIAKA KABLA PSPF HAIJAANZA. PIA KUUNGANISHA NI JANGA KUBWA TUTEGEMEE HAPO BAADAYE. WAFANYAKAZI NA VYAMA VYA WAFANYAKAZI WANAONA HALIWAHUSU, LKN TEGEMEA KIAMA MIAKA IJAYO. Pia kuna viongozi wengi tu wamestaafu na kulipwa...
  12. Imvubhu

    Tunaoielewa CCM tumemuelewa Juma Nkamia, tumeshayaona matokeo

    Hata kama itapita, siungi mkono wa kuongeza muda. Na ashindwe katika mipango hiyo.
  13. Imvubhu

    Trend Reading: Salum Mwalimu, Mb. Mtarajiwa, Kinondoni!. Hata Wana CCM Wasioendekeza Ujinga, Watamchagua!.

    Naunga Mkono. Hoja Fikirishi kwa waelewa. Salum mwalimu yuko vizuri, hakurupuki na hana siasa za kishabiki. All the best nadhani Wanaccm watampa pia Kura. Mtua ameharibu sana CV yake. Unagombea kuingia upande wa pili kwa mbeleko ya Mkiti, sio njema sana kwa demokrasia ya chama tuliyoizoea.
  14. Imvubhu

    Rais Magufuli akutana na mawaziri wa Elimu na TAMISEMI, apiga marufuku michango ya aina yoyote shuleni

    Bado kuna tatizo.Walimu hawachangishi fedha bila kushirikisha wazazi kupitia kamati za shule. Walimu ni wasimamizi wa makubaliano kati ya walimu na wazazi. Hapa naona walimu wanapata lawama zisizo zao. Inawezekana baadhi ya shule lkn najua kila shule ina kamati ya shule ambayo wajumbe ni wazazi...
Back
Top Bottom