Hakika inauma sana kuona mbunge wa chama tawala kugeuka hakimu bungen na kuwahukum wafiwa(chadema) bila walengwa kuwepo na wasidhan kwa maneno yao ya kejer na dhihaka wataweza kubadili uelekeo wa mawimbi ya ukomboz Arusha
ostsNi matokeo ya kupeana kaz na ajira kwa misingi ya dini kabila ushost na upendeleo mwingine bila kujali taaluma mtu aliyosomea! kila mtu analo jibu kilichobaki ni kipenga kupulizwa tu mechi ianze
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.