Recent content by Imeloa

  1. I

    JamiiForums Tanzania Hormz ngoma nzito Rais wa Iran ambiwa na IRGC kaa pembeni..

    Huyo amesoma alama za nyakati na kuona giza nene mbele. Huwezi ukawa rais boya tu ambaye anageuzwa mtazamaji wakati mambo nyeti ya kitaifa yakijadiliwa.
  2. I

    JamiiForums Tanzania BBC: "Watengenezaji wa magari duniani wanapata shida kushindana na China"

    Sawa lakini injini zao hazina ubora kama zile za nchi za magharibi na ukweli huo hujidhihirisha kwenye "Economic Life".
  3. I

    JamiiForums Tanzania BBC: "Watengenezaji wa magari duniani wanapata shida kushindana na China"

    Economic life for the Chinese truck engines are hardly 3 years the same for the loan repayment period for the bank borrowing to finance the Chinese truck purchase. However, the economic life for the western trucks is 8 - 10 years and the same period applies for the loan repayment for the most...
  4. I

    JamiiForums Tanzania Moore's Law vs Tao Law. China kupitia Huawei inaleta mbinu mpya za kuunda chips za hali ya juu zaidi

    The invention of lithium batteries, specifically lithium-ion batteries, involved several key contributors over time and throughout this masterpiece no any Chinese national who have been involved in these inventions. M. Stanley Whittingham (early 1970s) — An English chemist working at Exxon...
  5. I

    JamiiForums Tanzania Moore's Law vs Tao Law. China kupitia Huawei inaleta mbinu mpya za kuunda chips za hali ya juu zaidi

    I've testified somewhere here how the Chinese truck giants heavily rely on the western technology to sustain their business a proof that the Chinese cannot stand on their own feet when it comes to industrial manufacturing.
  6. I

    JamiiForums Tanzania Moore's Law vs Tao Law. China kupitia Huawei inaleta mbinu mpya za kuunda chips za hali ya juu zaidi

    Watu mnapenda sana upotoshaji hivyo vitu vingi walivyo vumbua Huawei ni vitu gani. China hawana uvumbuzi wowote waliofanya unaoweza kushuhudiwa labda mchezo wa soka ambao hata hivyo uliboreshwa zaidi na waingereza hadi leo kuwa mchezo wa kwanza kupendwa duniani...
  7. I

    JamiiForums Tanzania Iran ilishambulia vikali na kuharibu mali na kambi za Marekani picha za satellite zaonyesha

    Ndio vita vilivyo japo kuna propaganda nyingi sana lakini ndio sehemu ya vita vyenyewe. Huko Iran hali ni mbaya kuliko maelezo.
  8. I

    JamiiForums Tanzania Waziri Kombo: Raia akimrushia jiwe Polisi, general order yake inamwambia 'Attack first'

    Hao ni raia wa nchi nyingine hawana shida kabisa na watanganyika na kwa kauli hiyo ina maana wako tayari kuwaua watanganyika endapo wakipata tena fursa.
  9. I

    JamiiForums Tanzania BBC: "Watengenezaji wa magari duniani wanapata shida kushindana na China"

    Kwa wale wasiofahamu, nchi ya China imefikia hapo ilipo kwa msaada mkubwa kutoka kwa mataifa ya kigeni kama Marekani, Ujerumani, Japan nk. Kwa mfano malori makubwa ya kichina hutegemea vifaa na teknolojia kutoka kwenye nchi tajwa hapo juu. Kwa mfano: Shacman - hutegemea injini kutoka kampuni...
  10. I

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Cambodia yaagiza Waafrika wote wakiwemo kutoka Kenya, Ghana, Cameroon na Uganda kuondoka nchini humo kabla ya Mei 31, 2026

    Watawala wetu wameshindwa kuonyesha ni kwa nini wanatawala na kupenda kutawala milele. Bure kabisa.
  11. I

    JamiiForums Tanzania Moore's Law vs Tao Law. China kupitia Huawei inaleta mbinu mpya za kuunda chips za hali ya juu zaidi

    The Huawei has no any innovation but it's a pure replica for western phone technology. The Chinese are always not innovative people and that's why their shoddy products have no name for quality but they gain easy access to various markets because of their inexpensive price.
  12. I

    JamiiForums Tanzania Special Thread: FIFA World Cup 2026 - Canada, Mexico & USA

    Vipaumbele gani hivyo.
  13. I

    JamiiForums Tanzania Israel yanunua Ndege 6 za kujaza mafuta angani (Tanker)

    Hizo zilizokuwa zinaipiga Iran zenyewe zilikuwa zinapaki wapi.
  14. I

    JamiiForums Tanzania Ugaidi wa miaka wa Hezboullah huko Lebanon-Kusini!!

    Iran anayewadanganya hawezi kuwasaidia hivyo wanakufa wenyewe tu. Bure kabisa.
  15. I

    JamiiForums Tanzania Special Thread: FIFA World Cup 2026 - Canada, Mexico & USA

    Hadi Cape Verde nchi ya watu 529,600 tu inashiriki kombe la dunia huku Tanzania nchi ya watu milioni 70 ikibaki kuishangilia Cape Verde kwenye runinga 😰😰😰
Back
Top Bottom