That doctrine will only serve for sometime but as the situation evolves and as long as the top leadership continue to disintegrate the eventual collapse of the regime is inevitable and time will bear me witness.
Basi hao waarabu ni wanafiki tu kama kawaida.
Wasingefanya utumwa huku leo hii watanzania tungekuwa na idadi ya watu zaidi ya mara nne au tano ya ilivyo sasa.
Shida nyie taarifa zenu mnatoa masjid ubwabwa na hazina ukweli wowote ni propaganda tu za kijihadi.
As of now, according to the Israeli Prime Minister Benjamin Netanyahu the Israel's mission is primarily focused on a "prolonged operation" to degrade Hezbollah, suggesting no immediate desire for...
Serikali ya Ufaransa imefuta mwaliko kwa Afrika Kusini wa kuhudhuria mkutano wa kilele wa viongozi wa nchi saba tajiri zaidi duniani (G7) utakaofanyika mwezi Juni, hatua inayoelezwa kutokana na shinikizo kubwa kutoka kwa Serikali ya Marekani.
Msemaji wa Rais wa Afrika Kusini, Vincent Magwenya...
Wewe ndio uache uongo.
Hao kwa nini mpaka uende google mbona hatujawahi kuwaona kwenye runinga wakiwa hata wenyeviti tu hata wa serikali za mitaa...!!!???
Huko kwa wazungu tunawaona watu weusi wakishikilia nyadhifa mbalimbali serikalini lakini huko uarabuni hata ukienda huwezi kuwaona wakiosha...
Kwa hiyo hao wengine wakifa wanaenda akhera kupewa mabikra 72 wenye macho kama mayai, sasa wewe mbona unaogopa kufa basi unabaki kutamba tu nyuma ya keyboard 🎹
Kuna shida gani katika nchi hii?
Yaani Makonda pamoja na kughushi vyeti bado anaweza kweli kuwa na ndoto ya kugombea urais katika nchi hii.!!??
Makonda ana ban ya kutoruhusiwa kwenda Marekani kwa sababu ya kutuhumiwa na nchi hiyo kuwa kinara wa kundi la wasiojulikana sasa atakuwa raisi wa aina...
The former South African president the late Pieter Willem Botha once said, "the gravest mistake that will never be pardoned is to allow the black man to rule." Today the evidence is there for all to see. Independent African countries are a laughing stock of the world 🌎🌍
Watawala hamu yao ni kutawala milele ila madhila wanayopata wananchi wao haiwahusu.
Hawa vijana wanashawishiwa kirahisi kwa sababu ya uchovu wa kimaisha waliyonayo.
Pamoja na rasilimali lukuki zilizopo kwenye nchi zao serikali zao zimeshindwa kuzitumia kwa manufaa yao na matokeo yake ndio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.