Hadi Cape Verde nchi ya watu 529,600 tu inashiriki kombe la dunia huku Tanzania nchi ya watu milioni 70 ikibaki kuishangilia Cape Verde kwenye runinga 😰😰😰
Wazungu ndio wenye makosa kuwapokea watu wa sampuli hiyo wakati tabia zao zinajulikana vizuri kote duniani na ndio maana mataifa kama Russia na China hawawezi kukubali huo upumbavu.
Hao wabunge feki sasa hivi wanalipwa mishahara mikubwa shilingi milioni 25 kwa mwezi na posho za vikao laki tatu kila siku kwa kazi gani ya maana wanayofanya.
Kisha watumishi wanaosota wanalipwa laki tatu tu kwa mwezi, hilo mbona halisemi mnafiki mkubwa huyo.
Trump yuko sahihi kabisa, Ulaya waache kubania pesa kwa ajili ya usalama wao, haiwezekani mtu atoke maili nyingi kuja kuwalinda kwa gharama zake wakati wenyewe wamekaa tu hilo halikubaliki hata kidogo.
It's the end of the honeymoon meaning the defence frugal Europeans will now have to learn to...
Hawa magaidi wa Hamas wanadanganywa sana na Iran kwamba kupitia ugaidi wataweza kutimiza malengo yao ya kisiasa na mwisho wa siku wanaangamizwa wenyewe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.