Recent content by Imeloa

  1. I

    JamiiForums Tanzania Special Thread: FIFA World Cup 2026 - Canada, Mexico & USA

    Hadi Cape Verde nchi ya watu 529,600 tu inashiriki kombe la dunia huku Tanzania nchi ya watu milioni 70 ikibaki kuishangilia Cape Verde kwenye runinga 😰😰😰
  2. I

    JamiiForums Tanzania Wakimbizi wa Ulaya kutoka Mashariki ya kati na nchi za kiislamu wana matatizo!!

    Wazungu ndio wenye makosa kuwapokea watu wa sampuli hiyo wakati tabia zao zinajulikana vizuri kote duniani na ndio maana mataifa kama Russia na China hawawezi kukubali huo upumbavu.
  3. I

    JamiiForums Tanzania Mohammed Odeh - kiongozi mpya wa tawi la kijeshi la shirika la kigaidi la Hamas kaangamizwa usiku huu!!

    Israel hapo ndipo kwao hata akina Isaka, Jokobo, Yusufu, Yesu nk walizikwa hapohapo.
  4. I

    JamiiForums Tanzania Senegal: Aliyetimuliwa Uwaziri Mkuu achaguliwa kuwa Spika wa Bunge

    Amia Korea Kaskazini, Iran, Russia, Afghanistan au hata ubakie tu hii Tanzania ya sasa bado ni sawa tu.
  5. I

    JamiiForums Tanzania Kuelekea Kombe la Dunia 2026; Mchezaji gani ameachwa na timu ya Taifa unadhani alistahili kuitwa?

    Ndio maana yake.
  6. I

    JamiiForums Tanzania Pep Guardiola ni mbaguzi sana, bora kastaafu

    Zidane ni mwarabu asili yake Algeria lakini Guardiola ni mzungu m-spain. Ulaya ni bara la wazungu, watu wengine ni wahamiaji tu.
  7. I

    JamiiForums Tanzania Pep Guardiola ni mbaguzi sana, bora kastaafu

    Hata hapa ona ccm inavyowabagua wapinzani. Ubaguzi hauna kwao.
  8. I

    JamiiForums Tanzania Special Thread: FIFA World Cup 2026 - Canada, Mexico & USA

    Ndo zenu hizo.🤣🤣🤣
  9. I

    JamiiForums Tanzania Special Thread: FIFA World Cup 2026 - Canada, Mexico & USA

    Kama ni hivyo basi haitaitwa kombe la dunia.
  10. I

    JamiiForums Tanzania Festo Sanga: Ndani ya Ligi Kuu Bara kuna Wachezaji wanalipwa Laki 2 wengine wanalipwa Milioni 50

    Hao wabunge feki sasa hivi wanalipwa mishahara mikubwa shilingi milioni 25 kwa mwezi na posho za vikao laki tatu kila siku kwa kazi gani ya maana wanayofanya. Kisha watumishi wanaosota wanalipwa laki tatu tu kwa mwezi, hilo mbona halisemi mnafiki mkubwa huyo.
  11. I

    JamiiForums Tanzania Kuelekea Kombe la Dunia 2026; Mchezaji gani ameachwa na timu ya Taifa unadhani alistahili kuitwa?

    Hawa ni wale wa mchangani na umri pia umeenda.
  12. I

    JamiiForums Tanzania Allan Okello ni Geofrey Mwashiuya wa Uganda

    .........Uko sahihi kabisa, kama Chama alivyorudishwa.
  13. I

    JamiiForums Tanzania Senegal: Aliyetimuliwa Uwaziri Mkuu achaguliwa kuwa Spika wa Bunge

    Kwa Senegal hakuna kitu kama hicho hayo ni mambo ya ccm tu.
  14. I

    JamiiForums Tanzania Marekani kupunguza Burget yake NATO

    Trump yuko sahihi kabisa, Ulaya waache kubania pesa kwa ajili ya usalama wao, haiwezekani mtu atoke maili nyingi kuja kuwalinda kwa gharama zake wakati wenyewe wamekaa tu hilo halikubaliki hata kidogo. It's the end of the honeymoon meaning the defence frugal Europeans will now have to learn to...
  15. I

    JamiiForums Tanzania Mohammed Odeh - kiongozi mpya wa tawi la kijeshi la shirika la kigaidi la Hamas kaangamizwa usiku huu!!

    Hawa magaidi wa Hamas wanadanganywa sana na Iran kwamba kupitia ugaidi wataweza kutimiza malengo yao ya kisiasa na mwisho wa siku wanaangamizwa wenyewe.
Back
Top Bottom