Recent content by Imeloa

  1. I

    Marekani kuwasilisha mpango wa Vipengele 15 Kumaliza vita, Iran yadai hakutakuwa na Makubaliano kamwe

    That doctrine will only serve for sometime but as the situation evolves and as long as the top leadership continue to disintegrate the eventual collapse of the regime is inevitable and time will bear me witness.
  2. I

    Marekani kuwasilisha mpango wa Vipengele 15 Kumaliza vita, Iran yadai hakutakuwa na Makubaliano kamwe

    1/10 ya Lebanon tayari imeshatwaliwa na Israel sasa hao magaidi wenu wako wapi.
  3. I

    UN yapitisha azimio la kutambua utumwa wa Waafrika kama uhalifu dhidi ya binadamu. Israel, Marekani na Argentina zapinga

    Waambie maanake kuna wajinga wanafikiri kabla ya hizo dini kuletwa waafrika hawakumjua Mungu. Bure kabisa.
  4. I

    UN yapitisha azimio la kutambua utumwa wa Waafrika kama uhalifu dhidi ya binadamu. Israel, Marekani na Argentina zapinga

    Basi hao waarabu ni wanafiki tu kama kawaida. Wasingefanya utumwa huku leo hii watanzania tungekuwa na idadi ya watu zaidi ya mara nne au tano ya ilivyo sasa.
  5. I

    Ufaransa yadaiwa kufuta mwaliko wa Afrika Kusini kwenye mkutano wa G7 kwa shinikizo la Marekani

    Wewe unaongea vitu gani bwana. Unafikiri wasingefutiwa mwaliko wasingeenda.
  6. I

    Ni nchi gani ya Kiislamu ambayo bunge la Israel linapiga kura kuitangaza kuwa adui?

    Ni sawa tu kwa sababu watakuwa na sababu kwani Qatar ina tabia ya kuhifadhi magaidi wa Hamas.
  7. I

    Iran na Mlango bahari wa Hormuz waanza kutepeta

    Shida nyie taarifa zenu mnatoa masjid ubwabwa na hazina ukweli wowote ni propaganda tu za kijihadi. As of now, according to the Israeli Prime Minister Benjamin Netanyahu the Israel's mission is primarily focused on a "prolonged operation" to degrade Hezbollah, suggesting no immediate desire for...
  8. I

    Ufaransa yadaiwa kufuta mwaliko wa Afrika Kusini kwenye mkutano wa G7 kwa shinikizo la Marekani

    Serikali ya Ufaransa imefuta mwaliko kwa Afrika Kusini wa kuhudhuria mkutano wa kilele wa viongozi wa nchi saba tajiri zaidi duniani (G7) utakaofanyika mwezi Juni, hatua inayoelezwa kutokana na shinikizo kubwa kutoka kwa Serikali ya Marekani. Msemaji wa Rais wa Afrika Kusini, Vincent Magwenya...
  9. I

    UN yapitisha azimio la kutambua utumwa wa Waafrika kama uhalifu dhidi ya binadamu. Israel, Marekani na Argentina zapinga

    Pagazi katika ubora wake na ni ukweli utumwa hauwezi kwisha kwa sababu watu bado wanawatetea mabwana zao kwa kisingizio cha dini. Poor Africa.
  10. I

    UN yapitisha azimio la kutambua utumwa wa Waafrika kama uhalifu dhidi ya binadamu. Israel, Marekani na Argentina zapinga

    Wewe ndio uache uongo. Hao kwa nini mpaka uende google mbona hatujawahi kuwaona kwenye runinga wakiwa hata wenyeviti tu hata wa serikali za mitaa...!!!??? Huko kwa wazungu tunawaona watu weusi wakishikilia nyadhifa mbalimbali serikalini lakini huko uarabuni hata ukienda huwezi kuwaona wakiosha...
  11. I

    Israel yadai kumuua Kamanda wa Iran, Alireza Tangsiri aliyetoa agizo la kufungwa kwa mfereji wa Hormuz

    Kwa hiyo hao wengine wakifa wanaenda akhera kupewa mabikra 72 wenye macho kama mayai, sasa wewe mbona unaogopa kufa basi unabaki kutamba tu nyuma ya keyboard 🎹
  12. I

    Makonda anamlenga nani kuelekea 2030?

    Kuna shida gani katika nchi hii? Yaani Makonda pamoja na kughushi vyeti bado anaweza kweli kuwa na ndoto ya kugombea urais katika nchi hii.!!?? Makonda ana ban ya kutoruhusiwa kwenda Marekani kwa sababu ya kutuhumiwa na nchi hiyo kuwa kinara wa kundi la wasiojulikana sasa atakuwa raisi wa aina...
  13. I

    UN yapitisha azimio la kutambua utumwa wa Waafrika kama uhalifu dhidi ya binadamu. Israel, Marekani na Argentina zapinga

    Waarabu waliohasi watumwa wanaume ili wasizae utumwani wenyewe wamesemaje.!!??
  14. I

    Mkuu wa Jeshi la Polisi Afrika Kusini anakabiliwa na kashfa ya Rushwa zabuni ya dola Milioni 21 (Tsh. Bilioni 54)

    The former South African president the late Pieter Willem Botha once said, "the gravest mistake that will never be pardoned is to allow the black man to rule." Today the evidence is there for all to see. Independent African countries are a laughing stock of the world 🌎🌍
  15. I

    15 Zimbabweans Killed After Being Lured Into Russia-Ukraine War, 66 Still Trapped in Conflict

    Watawala hamu yao ni kutawala milele ila madhila wanayopata wananchi wao haiwahusu. Hawa vijana wanashawishiwa kirahisi kwa sababu ya uchovu wa kimaisha waliyonayo. Pamoja na rasilimali lukuki zilizopo kwenye nchi zao serikali zao zimeshindwa kuzitumia kwa manufaa yao na matokeo yake ndio...
Back
Top Bottom