Ina maana hakuwa na mengine ya maana ya kuweza kuongea. Kwa hali hii ina maana kwamba kila mtu anaweza kuwa rais.
Kuwa rais sio kama tulivyokuwa tunafikiria zamani.
Netanyahu kama kweli atauawa atakuwa mtu wa ajabu kwa kufa mara mbili kwani kwa mujibu wa jihadists alikufa karibu miezi miwili iliyopita.
Kama Marekani ndio wamekuwa mstari wa mbele kutaka mazungumzo kumbe Marekani ni waungwana sana kwa kutokupenda vita na kuweka mbele diplomasia.
Wanavuna walichokipanda. Sasa huyo gaidi anamponza hata mtoto wake kwa kisingizio kwamba anampigania mungu, mungu gani huyo ambaye hawezi kujipigania mpaka watu wauawe eti wakimpigania.
Very stupid indeed.
Tanzania bado hamna viwanja na kwa dunia ya leo huo uwanja sijui wa jenerali gani sio uwanja wa kuchezea mpira.
Uwanja utafikiri majaluba ya kuoteshea mpunga. Bure kabisa.
Ukiona mtu bado dunia ya leo anaamini kwamba uchawi una mchango wake katika soka unatakiwa uachane naye kabisa kwa sababu hana maana yoyote.
Kwa nini vilabu vitumie mamilioni ya pesa kununua wachezaji hata kutoka nje ya nchi na makocha vilevile wakati uchawi upo.!!!???😛😛😛😛
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.