Recent content by Imeloa

  1. I

    Samia: Nimeongea na Rais Ruto, wale watoto wetu watovu wa adabu, wakija kwako chapa mikwaju, wakija kwangu nachapa mikwaju

    Ina maana hakuwa na mengine ya maana ya kuweza kuongea. Kwa hali hii ina maana kwamba kila mtu anaweza kuwa rais. Kuwa rais sio kama tulivyokuwa tunafikiria zamani.
  2. I

    Iran YAISHAMBULIA kwa makombora Umoja wa Falme za Kiarabu muda huu

    Naona baada ya half time kazi inatakiwa kuanzwa tena kwani watu wameshajinoa upya tayari kumalizia ngwe ya mwisho.
  3. I

    Marekani na Israel kuushambulia Iran muda wowote ndani ya masaa 24 kuanzia sasa

    Wale viongozi wa IRGC safari hii hawaponi ni uso kwa uso na mabikra 72 wenye macho kama mayai na wasioenda choo na mito inayotiririsha Haineken.
  4. I

    Jeshi la Marekani yazamisha boti sita za Iran

    Ngoja jihadists waje.
  5. I

    PostGE2025 Kwa hapa tulipofika; Ya Oktoba 29 tungeyaacha, tuendelee na mambo mengine

    Sisi tunasubiri tu ICC waje kwa sababu mhalifu hawezi kujichunguza mwenyewe.
  6. I

    Baada ya Marekani kuudhibiti Mlango bahari wa Hormuz, Rais Trump aanzisha Freedom-Poject kwenye Mlango huo

    Netanyahu kama kweli atauawa atakuwa mtu wa ajabu kwa kufa mara mbili kwani kwa mujibu wa jihadists alikufa karibu miezi miwili iliyopita. Kama Marekani ndio wamekuwa mstari wa mbele kutaka mazungumzo kumbe Marekani ni waungwana sana kwa kutokupenda vita na kuweka mbele diplomasia.
  7. I

    Kwanini kila Rais mpya akiapishwa, Obasanjo huja Tanzania?

    Climax of lunacy.
  8. I

    Kinachowasaidia yanga ni UCHAWI na siasa za watu Fulani wa serikali, ila Hawana UWEZO WOWOTE KIMPIRA.

    Hakuna walinzi wasioonekana hayo ni mambo ya vijiweni tu, mbona sasa wanakufa tena kiulaini kabisa. Wewe acha mambo ya kitoto.
  9. I

    Kinachowasaidia yanga ni UCHAWI na siasa za watu Fulani wa serikali, ila Hawana UWEZO WOWOTE KIMPIRA.

    Bila shaka wewe utakuwa tu Mirembe Hospitali hivyo sina budi kukuacha uendelee na matibabu yako.
  10. I

    Kwanini kila Rais mpya akiapishwa, Obasanjo huja Tanzania?

    Hivi akina Benny Saanane na Azory Gwanda wako wapi???😛😛😛😛
  11. I

    Gaidi Iyad al-Shanbari auwawa huko Gaza!!

    Wanavuna walichokipanda. Sasa huyo gaidi anamponza hata mtoto wake kwa kisingizio kwamba anampigania mungu, mungu gani huyo ambaye hawezi kujipigania mpaka watu wauawe eti wakimpigania. Very stupid indeed.
  12. I

    Full Time: Simba SC 2-2 Yanga SC | NBC Premier League | Kariakoo Derby| Major Isamuhyo Stadium | 03.05.2026

    Tanzania bado hamna viwanja na kwa dunia ya leo huo uwanja sijui wa jenerali gani sio uwanja wa kuchezea mpira. Uwanja utafikiri majaluba ya kuoteshea mpunga. Bure kabisa.
  13. I

    Kinachowasaidia yanga ni UCHAWI na siasa za watu Fulani wa serikali, ila Hawana UWEZO WOWOTE KIMPIRA.

    Ukiona mtu bado dunia ya leo anaamini kwamba uchawi una mchango wake katika soka unatakiwa uachane naye kabisa kwa sababu hana maana yoyote. Kwa nini vilabu vitumie mamilioni ya pesa kununua wachezaji hata kutoka nje ya nchi na makocha vilevile wakati uchawi upo.!!!???😛😛😛😛
  14. I

    Trump adai anapitia mapendekezo ya amani ya Iran kama yanaweza kukubalika, huku akitishia mashambulizi

    Marekani tayari imeshashika mavi hivyo haina namna lazima wamalize vita ili irejeshe imani kwa watu wote wapenda amani duniani.
  15. I

    Uchumi wa Israel wazidi kupaa licha ya Vita vyake na Iran

    Tuchambulie basi na ya Iran pia tuone ilivyo kwa sasa.
Back
Top Bottom