Recent content by Imeloa

  1. I

    JamiiForums Tanzania Rais Paul Kagame: Viongozi wanapokuwa madarakani na hawafanyi jambo sahihi, tunapaswa kuwa na ujasiri wa kusema

    The former Ugandan dictator Idi Amin during his reign of terror he once had an interview with the British journalist who asked him about the lack of freedom of speech in Uganda. In response to this question Amin told him that, "we guarantee freedom of speech but we cannot guarantee freedom...
  2. I

    JamiiForums Tanzania Utajiri wa Dangote wafika dola bilioni 50

    Kuna propaganda nyingi sana kuhusiana na taarifa za utajiri wa huyu bwana. Eti inadaiwa anataka kujenga refinery Kenya yenye thamani ya dola za Marekani bilioni 17 ambayo itazalisha mapipa 100,000 ya mafuta kwa siku. Wakati huohuo refinery kama hiyo inatarajiwa kujengwa nchini Niger na...
  3. I

    JamiiForums Tanzania Marekani yaogopa kasi ya China kwenye AI, yaomba kasi ya AI ipunguzwe. China imekataa!

    Hii taarifa sio ya kweli ina porojo nyingi sana. Acheni China ipambane kupunguza machinga kwanza.
  4. I

    JamiiForums Tanzania Ado Shaibu: Yuko wapi aliyekuwa Makamu wa Rais, Dkt. Emmanuel Nchimbi?

    Una uthibitisho gani?
  5. I

    JamiiForums Tanzania Marekani wamekimbia huko ghuba ya uajemi wengine wapo hapo Mombasa Kenya.

    Kama huwezi kujibu kwa hoja, nyamaza.
  6. I

    JamiiForums Tanzania FT: Yanga SC 2-1 Gaborone Utd | CAFCL - Kufuzu Round 1 | Azam Complex | AGG 3-2

    ............... Not as much as this country needs.
  7. I

    JamiiForums Tanzania Eto'o akumbwa na kashfa ya kula billion 1 ya malipo ya mechi

    Ni kweli kabisa ni sawa na kusemea kuhusu dhambi kwamba haina cha rangi lakini ukweli unabaki pale pale kwamba kwa waafrika ni zaidi. Angalia hata nchi zetu, zimejaa kila aina ya rasilimali tofauti kabisa na Ulaya au Asia lakini kwa sababu ya hulka ya kiafrika eti sisi ndio maskini wa kutupwa...
  8. I

    JamiiForums Tanzania Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu azidi kuitambia Iran akiwa juu ya mlima wa Hermon nchini Syria

    Israel haijuagi matani hao wengine wana matani sana ndio maana Iran inawachezea chezea.
  9. I

    JamiiForums Tanzania Kwa Tukio Hili Yanga Sijui Kama Atakwepa Rungu la CAF

    Watanzania ni watu wa hovyo siku hizi hawana kabisa heshima, heshima ya Tanzania iliisha kitambo kabla ya kuanza kutawaliwa na mijitu ya ajabu ajabu ndio inawafundisha hizo tabia za kipumbavu namna hiyo. Bure kabisa.
  10. I

    JamiiForums Tanzania Ado Shaibu: Yuko wapi aliyekuwa Makamu wa Rais, Dkt. Emmanuel Nchimbi?

    Akina Samia na ccm yao mwisho miaka minne ijayo hivyo huyo atapatikana tu labda wamuue.
  11. I

    JamiiForums Tanzania Vurugu ya middle east imekuwa kubwa sana

    Yes, Iran can ship small amounts of oil by rail through Central Asia to evade American sanctions, but rail transport cannot replace ships for large-scale export. How Rail Shipping Works The Route: Iran connects to a 10,000-kilometer rail network that runs through Turkmenistan and Kazakhstan...
  12. I

    JamiiForums Tanzania FT: Yanga SC 2-1 Gaborone Utd | CAFCL - Kufuzu Round 1 | Azam Complex | AGG 3-2

    Aggregate score???
  13. I

    JamiiForums Tanzania Eto'o akumbwa na kashfa ya kula billion 1 ya malipo ya mechi

    Waswahili tukoje? Mbona mambo yote mabaya ni kwetu tu hadi hata uchaguzi tu ambayo ni zoezi la kuhesabu moja, mbili, tatu, nne, tano nk eti hatuwezi.😛😛😛😛😛 Halafu tunadai Sovereignty. Very stupid.
  14. I

    JamiiForums Tanzania Marekani wamekimbia huko ghuba ya uajemi wengine wapo hapo Mombasa Kenya.

    Iran survives without normal global trade by relying on a domestic "survival economy," alternative trade routes, and informal financial networks developed over decades of isolation. Domestic Self-Reliance Local Manufacturing: Iran produces much of its own steel, automobiles, cement...
  15. I

    JamiiForums Tanzania Ujumbe kutoka Trump kwenda kwa Putin na Zelensky kutaka vita viishe. Urusi ingekua inazidiwa wangeenda Moscow?

    Atakayepinga maelezo yako haya aidha atakuwa ni jihadist au taahira wa kwenye vijiwe vya kahawa asiye na uelewa wowote wa huu mgogoro wa kipumbavu ulioanzishwa na dikteta Putin.
Back
Top Bottom