Recent content by imbuwa

  1. imbuwa

    Polisi wamenitrack niliokota simu, kesho natakiwa kituoni

    Abadili laini wakati zimesajiliwa kwa kutumia kitambulisho?
  2. imbuwa

    Naomba msaada katika hili la kununua nguo

    Uzi wa darisalama wengine hatujui sinza iko wapi
  3. imbuwa

    Nyundo na wenzake wakutwa na hatia, wahukumiwa kifungo cha Maisha Jela

    Nadhani lengo la kupiga picha ilikuwa ni kumuonyesha aliye watuma ili walipwe mishahara baada ya kujiridhisha kwamba kazi wameifanya
  4. imbuwa

    Angalizo: Watu wa Mbeya mnaoishi Mbeya Mjitathimini mienendo yenu kinidhamu inalichafua Jiji, ipo siku jiji litafutwa

    Wewe ndio mweupe kwanza sisi toka wameweka hizo sola sijaona kama kuna mahali zimeibiwa na kama kuna mahali zimeibiwa basi hali siyo mbaya kama unavyo tuaminisha.kuhusu wageni kupigwa zuchu alistahili kichapo . kuna mtu ameongelea Udini sio kweli kwa sababu kitongoji ninacho kaa mwenyekiti wetu...
  5. imbuwa

    Nyundo na wenzake wakutwa na hatia, wahukumiwa kifungo cha Maisha Jela

    Mda sio mrefu utasikia wamekata rufaa wameshinda kesi
  6. imbuwa

    Jeshi la Israel lafanya mashambulizi makubwa huko nchini Yemen na kusambaratisha kinu cha kuzalisha umeme na bandari

    Hii ni ngoma ya bibi yake babu wa baba mkwe alafu mkwe sasa wa shangazi yake babu
  7. imbuwa

    Kariakoo inakuwaje duka Moja la simu Kuna wauzaji zaidi ya 20

    Sa Sahihi kabisa watu hawaelewi kama kuna bei za jumla na rejareja na kuna utaratibu wa kununua kwa bei ya jumla
  8. imbuwa

    Chadema haina wanamikakati wabobezi na ispojirekebisha itaendelea kusinyaa

    Wanatumia mbinu zile zile zilizo waferisha miaka yote japo kwa upande wa maokoto zimewasaidia lakini sioni kama zinaweza kuwapeleka ikulu
  9. imbuwa

    Alivyokamtwa Lema kwenye ndege ni sawa tu alivyochukuliwa mzee Ali Kibao kwenye basi

    Kwa upande wangu niko tofauti kidogo na wewe hawa chadema wamekata tamaa hawana lengo la kushika dola wana lengo la kutafuta mkate wa kila siku tofauti na mwanzo hivyo wananchi wamechoka kusikia ngonjela ambazo hazina matokeo chanya nijuavyo mimi ccm haina uwezo wa kuongoza nchi ni vile tu...
  10. imbuwa

    Wana CHADEMA wamsaliti na kumgomea kabisa Mbowe kuandamana mpaka ajikuta akikamatwa akiwa mwenyewe na waandishi wa habari tu

    Kwani hujaona polisi na waandishi wa habari wakiandamana? Ujumbe umefika malengo yametimia
Back
Top Bottom