Recent content by iMAC

  1. I

    Kumbukumbu za ulimwengu (World Archives)

    Hizi pyramids huwa zinanipa maswali sana. Kipindi wanajenga hizi pyramids technology ilikuwa bado ipo chini sana sasa huwa nawaza kuhusu haya mawe waliyapandisha vp kule juu[emoji849]. Jiwe moja inasadikika lina kilo 3000+ Labda niulize wakuu hizi pyramids zina urefu wa meter ngapi kwenda juu
  2. I

    JamiiForums Usiku wa manane

    03:59
  3. I

    Mwenye swali lolote kuhusu Tiba za uchawi

    Majini[emoji15] Apa nahama leoleo asee. Nashkur mkuu[emoji120]
  4. I

    Mwenye swali lolote kuhusu Tiba za uchawi

    Ivi maana yake hapo ni nyumba inakuwa na majini au ni wachawi tu wa kawaida
  5. I

    Mwenye swali lolote kuhusu Tiba za uchawi

    Hii hatari asee[emoji134]
  6. I

    Mwenye swali lolote kuhusu Tiba za uchawi

    Dah, nyumba za kupewa hizi[emoji57]. Nahama apa.
  7. I

    Mwenye swali lolote kuhusu Tiba za uchawi

    Mimi ni mkristu mkuu, hapa sijui hata nifanyaje. Mm ni mkristu ila sio mtu wa kusoma Bible kabisa, hapa tu nilipo ninakaribu miaka mitano sijawah kwenda kanisani. Last time naenda kanisani ilikuwa 2018 nipo shule. Kama kuna njia nyingn labda inaweza kunisaidia
  8. I

    Mwenye swali lolote kuhusu Tiba za uchawi

    Hapa nakubali mkuu, Kwa sababu mara kadhaa nimekuwa nikilala kwa jamaa yangu naamka mapema sana ila nikilala hapa nyumbani ni mtihani.
  9. I

    Mwenye swali lolote kuhusu Tiba za uchawi

    Habari.. Mimi ni kijana wa kiume, Umri wangu ni miaka 24, Naishi mkoa X. Najishughulisha na uuzaji wa vifaa vya simu kwenye mkoa niliopo.(sitegemei kuulizwa kama ninakazi au sina kazi mana nimeshaeleza). Ninatatizo moja la kupatwa na uvivu muda wa kuamka asubuhi. Kuna muda naamka mpaka saa nne...
Back
Top Bottom