Ujuaji unawasumbua,ardhi thamani yake huongezeka kila mji unapolisogelea hili eneo limeshafikiwa na mji zaidi linaweza kutumika kwa shughuli nyingine sasa/kunadili matumizi
Siyo lazima kulilima eneo lilipewa hati ya shamba lakini kwa sasa mji umelizunguka hivyo huwezi kulitumia kama shamna tena inabidi libadilishiwe matumizi,tusikalili!!
Tatizo lenu ni ujuaji hivi eneo liloko jirani ya manipaa kwa muda mrefu lenye hatimiliki ya shamba na muuzaji ameliona lina umuhimu fulani kwanini asiuze bei anayotaka??
Bado kuna walioondolewa kwa kusomea fani nyingine tofauti na ualimu wakiwa na leseni za ualimu
Yaani unamchukua mtu na fomu 6 then unamlazimisha kuwa mwlm kweli?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.