Recent content by illuminata

  1. I

    Biashara ya Kuuza Mkaa: Uzoefu, Vibali vya kuchoma, Changamoto na Ushauri

    Hebu kabla ya kuingia bank,rudia utafiti wako kama utakuta kuna mtu alitoka kimaisha kwa kufanya biashara ya mkaa.Ukimpata rudi utuambie hapa jukwaani.Bora ufuge kuliko biashara ya mkaa
  2. I

    Msaada: Biashara ya Kitimoto au Ng'ombe

    Nenda kibaigwa wafugaji wa pale kila wiki wanapandisha Nguruwe kwa kushare transport na kuwaleta Dar.Tafuta mfugaji yeyote anajua hiyo maneno
  3. I

    Biashara ya ng'ombe kutoa mikoani kuleta Dsm

    Tembelea minada ya mikoani.Kwa kuanzia nenda igunga kila jmamosi kuna mnada kuanzia saa tatu asubuhi.Kajifunzie pale,utajua bei ambayo kiukweli hutegemeana na msimu na pia utajua minada mingine kama ndala kahama nk
  4. I

    Tunauza chakula cha ngombe, mbuzi, kuku, nguruwe na samaki

    We unatangaza biashara,badala ya kuweka namba unataka Pm
  5. I

    GE2015 Unaunga mkono Lowassa kuhamia CHADEMA na kuwa mgombea Urais?

    Nia ni kumtoa shetani,kama shetani anaweza kusaidia kumtoa shetani basi ndiyo.
Back
Top Bottom