Hebu kabla ya kuingia bank,rudia utafiti wako kama utakuta kuna mtu alitoka kimaisha kwa kufanya biashara ya mkaa.Ukimpata rudi utuambie hapa jukwaani.Bora ufuge kuliko biashara ya mkaa
Tembelea minada ya mikoani.Kwa kuanzia nenda igunga kila jmamosi kuna mnada kuanzia saa tatu asubuhi.Kajifunzie pale,utajua bei ambayo kiukweli hutegemeana na msimu na pia utajua minada mingine kama ndala kahama nk
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.