Mkuu hili swala linapelekwa kipropaganda.
But the truth is this, dogo alikuwa kwenye mavazi ya kazi, yy ni operator wa ADT, alikutwa nje ya mtambo wake akiwa chini anafukua mzigo, baada ya kukutwa aliamua kujirusha ili asikamatwe. Ni operator wa ADT underground mine. Tuache propaganga.
Habari za asubuhi wanajamvi, kuna jambo najiuliza sana.
Hivi kweli Tanzania tumefikia hatua ya kuhamasishwa kwa matamasha, vitisho ndio tukahesabiwe?
Nini mbaya?
Tumekosea wapi?
Je, viongozi wetu wamekosa mwelekeo?
Nyani walishangilia Baada ya mwenye shamba kufariki kwa sababu alikuwa akiwafukuza kila wakivamia shamba na kula mazao.. baada ya mwenye shamba kufariki walienda shamba wakala mazao yote wakifurahi!! Msimu ulio fuata walienda shamba hawakufukuzwa lakn mazao hayakuwepo na wao wakafa kwa njaaa...
Habari za jioni wakuu. Nimekuja kwenu usiku huu kuomba ushauri kutokana na changomoto ninazopitia.
Mimi ni kijana mwenye miaka 31, baba wa watoto wawili. Nilimaliza chuo mwaka 2015 toka kipindi hicho sikufanikiwa kupata ajira ya maana au kuweza kujiajiri.
Nilipambana mtaani nikaweza kuipatia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.