Umeelewa kilichosemwa au umedandia hoja?
Kipi bora kusafiri kutoka huko kwenu Kasulu kwenda Dodoma au Dar kufanya interview au kwenda internet cafe hapo Kasulu?
Tumia viungo sahihi kufikiri!
Ni kweli hii tabia imeanza kuzoeleka askari polisi kubeba silaha huku akiwa amevaa kiraia.
OCDs na RPCs kwa nini mnaruhusu ujinga huu kufanyika kwa kuwa raia wema tutashindwa kutofautisha kati ya jambazi na polisi na siku isiyofahamika kutatokea maafa makubwa halafu mshindwe kutoa maelezo...
Tafuta shamba kijijini na anza kuliendeleza pole pole. Kuweka pesa za kuanzia sawa lakini kumbuka pesa zinapungua thamani na zinakwisha lakini shamba thamani yake ni ya kudumu. Maandalizi haya yasikufanye ujinyime sana hadi ukose raha za dunia.
Gharama ya matibabu haitegemei bei ya dawa peke yake bali pia huduma. Kuna wanaolazwa kwenye maholi na wengine wanalazwa kwenye vyumba binafsi lazima walipe tofauti.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.