Recent content by Ileje

  1. Ileje

    Interview kufanyika online utumishi hiki ni kiini macho kingine kwa watoto wa wakulima

    Umeelewa kilichosemwa au umedandia hoja? Kipi bora kusafiri kutoka huko kwenu Kasulu kwenda Dodoma au Dar kufanya interview au kwenda internet cafe hapo Kasulu? Tumia viungo sahihi kufikiri!
  2. Ileje

    Robo Fainali CAFCL: Simba kukutana na Al Ahly, Yanga yapangwa na Mamelodi Sundowns

    Natabiri Yanga na Simba watacheza fainali! Kwa hiyo kombe ni mali ya Tanzania safari hii!
  3. Ileje

    Mashabiki wa Simba wamehamia kwenye kumshutumu GSM kudhamini timu zaidi ya 6

    Makolo acheni ujinga shirikianeni na Mo mjenge timu yenu!
  4. Ileje

    Polisi kukatiza mitaani na silaha ili hali wakiwa wamevaa kiraia: Je, kanuni za Jeshi la Polisi zina muongozo upi?

    Ni kweli hii tabia imeanza kuzoeleka askari polisi kubeba silaha huku akiwa amevaa kiraia. OCDs na RPCs kwa nini mnaruhusu ujinga huu kufanyika kwa kuwa raia wema tutashindwa kutofautisha kati ya jambazi na polisi na siku isiyofahamika kutatokea maafa makubwa halafu mshindwe kutoa maelezo...
  5. Ileje

    Wakazi wa Kirando nisaidieni

    Kazi gani ulimpa akufanyie?
  6. Ileje

    Mstaafu mtarajiwa unajiandaaje na maisha ya kustaafu?

    Tafuta shamba kijijini na anza kuliendeleza pole pole. Kuweka pesa za kuanzia sawa lakini kumbuka pesa zinapungua thamani na zinakwisha lakini shamba thamani yake ni ya kudumu. Maandalizi haya yasikufanye ujinyime sana hadi ukose raha za dunia.
  7. Ileje

    NHIF yakusudia kusitisha Mkataba wa Huduma kwa Hospitali za APHTA Ikiwemo Aghakani na TMJ

    Gharama ya matibabu haitegemei bei ya dawa peke yake bali pia huduma. Kuna wanaolazwa kwenye maholi na wengine wanalazwa kwenye vyumba binafsi lazima walipe tofauti.
  8. Ileje

    Serikali impe angalizo Jerry Silaa, namuona anaiingiza Serikali katika mgogoro mkubwa wa kulipa fidia!

    Vibali vyote vinaweza kuwa fake na u-fake wake unaweza kusababishwa na huyo anayejenga kwa kutoa rushwa!
Back
Top Bottom