Inasikitisha sana,mimi lawama zangu zote ni kwa Samia..alivyoingia tu alitoa 500milioni kwa ajili ya kila jimbo kujenga barabara ya vumbi,lakini ukiangalia kwa undani sana nia ilikuwa kunufaisha zanzibar,maana ukilipa jimbo la zanzibar 500m wanakarabati sehemu kubwa sana,pili hana maono yoyote...
Ahahaha,kwamba hakuwepo kwenye interview lakini alipita?ila ukiangalia pattern,huyu yupo kwa manufaa ya JK,myu wa kuja kufungwa akiwa hair ni JK na huyu bibi yake mpuuzi anayepewa maelekezo
Huyu jamaa alikuwa Zonal Director wa Tigo zone ya South,mikoa ya Iringa,Mbeya,Ruvuma na Rukwa...alikuwa anajenga hoja vizuri sana,sijui kapatwa na nini...yawezekana wameshajua boss wao anapenda watu wajinga
Na huu ndo ulikuwa ugomvi mkubwa wa Ndugai na Bibi Shetani Samia,nakumbuka kwenye mgao wa pesa za uviko Ndugai alimuuliza Mwigulu,"huu utaratibu wa kugawa pesa kwa kutumia mfumo wa majimbo hauko sawa",alimuuliza hili swali mbele ya Samia..maana yake ukigawa pesa za uviko kwa kuangalia jimbo na...
Walitekwa,hii Kagame aliiongea,akasema siku wakirudia tena watarudi kwenye mifuko,akaongeza kuna dada zetu na kaka zetu majirani wameshindwa kutumia akili
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.