Recent content by IKIRIRI

  1. IKIRIRI

    Nautafuta uzi wa mda wa jamii forum kudate na binti ana shetani

    Kuna uzi upo humu...mda wa jf anasimulia jinsi alivyompenda bint kufika lodge akambadilikia kwa kupàndisha shetani kwenye lodge akapata msaada nje Tafadhari modes naomba link ya uzi Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
  2. IKIRIRI

    Nini chanzo cha kifo cha Habibu Halahala aliyekuwa mpiga picha wa Hayati Mwalimu Nyerere?

    Habari. Pichani ni marehemu HABIBU HALAHALA aliyekuwa mpiga picha na mwandishi wa habari wa Baba wa Taifa mh Julius Kambarage Nyerere Rais wa kwanza wa TANZANIA. Alikuwa moja ya watu muhimu na wa waandishi wazuri sana katika nchi hii. Inasemekana alifariki Kwenye ziara ya Rais Mwinyi. Nani...
  3. IKIRIRI

    Stress zilinifanya nihisi kuwa na tatizo la nguvu za kiume

    Ni kweli na wenyewe ilo hawalijui
  4. IKIRIRI

    Stress zilinifanya nihisi kuwa na tatizo la nguvu za kiume

    Ni kweli,watu wengi tatizo kama ili ,bahati mbaya wamepata tiba za kuongeza nguvu kumbe tatizo liko kwake na mke wake
Back
Top Bottom