Nyie vipi?..kumsubiri kote kule na kulala nje mlangoni na mchana sikula. Afu laki nne zipo kwenye wallet niziache?..nna mavi mimi kwani?.sijui pesa sio?..acheni bana ngololo zenu kama hamna cha kuchangia. Mnfyuuuuuusss
..basi nikafika sehemu aliko mwenza wangu. Nikatonywa na wale mashushu kua yupo Bar flan anaburudika na huyo jamaa mwizi. Huyu ni mwizi mwingine sio profesa. Kiblazamen flan ivi. Nikafika pale bar hata sikuamin. Nikasubiria weee mpaka wakamaliza. Kisha wakaelekea kwenye gari...wakakaa kwa...
Wadau..kwa muda sasa hatuelewani na mke wangu wa ndoa. Kila nikiwasiliana nae...anakua kama hapendi hivi. So nikaamua kuweka mashushu wamfuatilie kwani chuo anachosoma mimi pia niliwahi kusomea huko...so ninafahamu mazingira ya huko. Mrejesho wa taarifa za mashushu hao. .kila mmoja kwa wakati...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.