Habari,naomba msaada kwenye usahili utumishi wanakubali kupokea loss report ya kitambulisho Cha taifa kilichopotea?wanahitaji uthibitisho Gani Kwa mtu ambaye kapoteza kitambulisho.
Hakuna mtu/taasisi inayomiliki groundwater isipokuwa taasisi imepewa kibali na mamlaka ya kuratibu usimamizi wa groundwater(TANZANIA WATER ACT).ndo maana unatakiwa ufatute kibali Cha kuchimba kisima(drilling permit) na uanishe maji unataka uyatumie Kwa shunghuli gani(kilimo,matumuzi ya nyumbani...
Ili kuhakikisha kunakuwa na upatikanaji wa maji yakutosha na endelevu katika maeneo yetu hapa nchini serikali na wadau wa maji wangetenga fungu la fedha za kutosha kwa ajili ya tafiti za maji ya chini ya ardhi(geophysical survey)ili kuongeza vyanzo vya upatikanaji wa maji kuliko kutegemea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.