Recent content by Igulya

  1. I

    Wonjun Choi awa Rais mpya wa Samsung

    Wenzetu wanapandishwa cheo kupitia ufanisi wao wa kazi, huku kwetu ni uchawa ndio unaoamua kupewa cheo Mtu mweusi ni sawa na mbingu na aridhi kwa mtu mweupe
  2. I

    Tanzania nchi kumi bora utajiri na uchumi Afrika

    Hata masikini wa masikini, wapo wenye uahueni lakini wote ni masikini
  3. I

    Angalia Zelensky Alivyonywea

    Ifike mahali tuanze kumwomba Mungu maombi na utaratibu usiofaa kwa wanadamu wachache, ila itakuwa dawa ya kupona kwa wengi Mungu aruhusu fimbo ya mauti iwakute wote waliojivika umamlaka ya ndani ya kujipea nchi yetu na maliasili za nchi yetu Wamejipea thamani zote za nchi yetu, na wao ndio...
  4. I

    Rasmi Donald Trump akatisha ufadhili kwenye programu za UKIMWI, Malaria na Polio duniani kote. Tanzania tutatoboa?

    Sehemu kubwa, ni funzo kwa nchi zingine hasa kwa viongozi tegemezi
  5. I

    Rasmi Donald Trump akatisha ufadhili kwenye programu za UKIMWI, Malaria na Polio duniani kote. Tanzania tutatoboa?

    Unafanya kazi WHO? Au UNAIDS? Imekula kwako mkuu, izoee hali iliyopo Katibu nyani
  6. I

    Rasmi Donald Trump akatisha ufadhili kwenye programu za UKIMWI, Malaria na Polio duniani kote. Tanzania tutatoboa?

    Akili za nyani zikusumbue? Nauliza tu, hapo ulipo wewe, bado unasumbuliwa na akili za nyani? Huna adabu
  7. I

    Rasmi Donald Trump akatisha ufadhili kwenye programu za UKIMWI, Malaria na Polio duniani kote. Tanzania tutatoboa?

    Halafu inaonesha vitoto vya lika hilo ndivyo vimeathrika kushinda vizazi vyote aisee
  8. I

    Rasmi Donald Trump akatisha ufadhili kwenye programu za UKIMWI, Malaria na Polio duniani kote. Tanzania tutatoboa?

    Inasadikika hivi Aliyeleta HIV, ndiye aliyebuni pia dawa za kufubaza virusi hivyo yaani, (ARVs) na kuanza kuzitoa bule ili kuwasahaulisha watu waone hali hiyo ni kawaida tu, sasa kajitoa kufadhili mradi huu alioubuni mwenyewe Hii inamaana ya...... Mpango wa kuwepo virusi vya HIV duniani, ni...
  9. I

    Trump akimwambia Paul Kagame out, Ni dhahiri nchi zetu si lolote kwa Kagame?

    Huu mfano wako mkuu, mbona haviendani na hoja iliyopo mezani?
  10. I

    Trump akimwambia Paul Kagame out, Ni dhahiri nchi zetu si lolote kwa Kagame?

    Mimi nauliza, hivi ni kweli kabisa Africa inajitawala?
  11. I

    Mataifa ya Brics yanayotaka kuachana na dola ya Marekani katika biashara yajikuta katika wakati mgumu.

    Humu karibu wote huwenda hatuijui vizuri USA kushinda wanaotishiwa ushuru kupandishwa baada ya tishio la Dollar kwa nchi za BRICS Kwa nini waufyate?
  12. I

    PreGE2025 Rais Samia: Nilimpiga kikofi January leo namrudisha kwa mama

    Makambako tena? Makambako huyu huyu asiyeweza chochote zaidi ya kunyemelea 10% kwenye mikataba ya kihuni??
  13. I

    Nimelia machozi baada ya kusikiliza Mahubiri ya Nabii Denis Kuhusu Tanzania

    Alichokiongea ni uhalisia wetu Watanzania
  14. I

    Nimelia machozi baada ya kusikiliza Mahubiri ya Nabii Denis Kuhusu Tanzania

    Neno la Mungu ni haki na Amani mkuu
Back
Top Bottom