"Akili yako bora ya mbwa ambaye unaweza ku-mtrain akakulinda, sio matope uliyonayo kichwani mwako, unazijua siri za nchi wewe au unaumwa kisonono cha ubongo?
" Na hao, wabishi, wapumbavu, walevi wa bangi, unga, viroba n.k....ndio watakaoonesha ubishi wao, ulevi wao, upumbavu wao, bangi zao, unga wao, viroba vyao n.k yao J2 kwenye visanduku vya kura na kuzilinda",.... Halafu kumbuka hii " Never underestimate the power of stupid people in large groups"
"The wise will always be respected, I respect you Juma Mwapachu, thank you for standing with us...your experience and wisdom is needed our take over the country"
"Wakati huo huo mama yetu Regina Lowassa, anaivuruga kanda ya Ziwa, alikuwa Mkoa wa Mara leo, kesho ndani ya Mwanza....weweeee", magamba yakizomewa Dar ni hatariiii, mpaka yafe tu mwaka huu
"Hata kwa wale wenye macho ukiangalia watu wengine wote hapo kwenye picha kasoro bodyguard wake na Mbatia tu ndio hawakufumba macho...hili mbona halihitaji ufike chuo kikuu kusoma picha na kujua hapo watu walifumba macho wakati dua au maombi yakofanyika!!Uliyezusha hizi taarifa mbaya na za...
By Lizaboni:
Duh! Kweli Lowasa anaishi kwenye sayari hii? PAYE imeshapungua kitambo kutoka hiyo asilimia 18 mpaka asilimia 11 sasa. Lengo la serikali ni kufikia asilimia 9 ifikapo Julai 2016. Wakati yeye anaahidi, wenzake wanatekeleza.
"We pimb sana ujue....me nmematwa 14%..mwez huu,iyo 11...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.