" Na hao, wabishi, wapumbavu, walevi wa bangi, unga, viroba n.k....ndio watakaoonesha ubishi wao, ulevi wao, upumbavu wao, bangi zao, unga wao, viroba vyao n.k yao J2 kwenye visanduku vya kura na kuzilinda",.... Halafu kumbuka hii " Never underestimate the power of stupid people in large groups"