Recent content by igha

  1. I

    Ananilazimisha tufanye mapenzi na mimi sitaki

    Umenena mkuu. Huo ndio ukweli wooote
  2. I

    Point of services office(POSO) waja kukomboa sekta ya filamu Tanzania

    POSO Tanzania ni ofisi ya uwezeshaji wananchi kiuchumi chenye database ya wateja wake 250,000 kila mkoa na wameingia rasmi kwenye sekta ya filamu kwa kuwachukua waigizaji nguli kama Rich(Single Mtambalike), Jb(Jacob Steven) na King Majuto (Amri At human) na sasa wapo Mwanza kutengeneza filamu...
  3. I

    Poso tanzania

    POSO Tanzania sio taasisi ni ofisi ya kituo cha uwezeshaji wananchi kiuchumi. na Bega kwa bega microfinance ni kampuni inayomilikiwa na wananchi wa Mwanza. Poso inawawezesha wananchi kubuni miradi, kuianzisha, kuisimamia wao wenyewe. Poso haipokei fedha wala haina account Bali inawaunganisha...
  4. I

    Riwaya: Hatia

    John John, yes papa.
  5. I

    Kweli nimuache aoe wakati mimi nahangaika na kiumbe chake?

    Anna pita Pole sana Dada yangu, Bali kumbuka kuwa upandacho ndicho utakachovuna. Mungu ameamuru USIZINI Nawe umezini na sasa inavuna matokeo.
Back
Top Bottom