Unatafuta mume sasa, ulikuwa wapi umri wote huo?pia kwa masharti hayo, sidhani kama utampata uliyemtarajia. Elimu ya juu na mapenzi ni vitu viwili tofauti. Hakuna mwanaume atakayetishika na elimu yako hiyo, inachotakiwa ni maelewano. Halafu nani aliyekwambia kuwa umri mkubwa ndio wanajua maisha?