nashukuru sana kaka kwa mchango wako mzuri na ushauri pia. Umeongea sahihi kabisa kuhusu dada zetu siku hizi. Yeah now nafikiria kuifanyia amendment hiyo criteria namba 7. Amani sana na baraka tele kwako mkuu
Ahsante sana kaka kwa pongezi zako ambazo naamini ni za dhati. nashukuru mno, yeah napenda sana kuwa muwazi na mkweli katika mambo yanayostahili.
In GREEN: Mambo mengine kama JINA halisi or physical address, kwa mimi naona hizo ni 'too personal' details ambazo sio vizuri zikawa outsourced...
inamaana wote waliomo kwenye social nets ni hawafai? nina rafiki angu mmoja amepata mke umu umu JF, true story!!! tunapata best friends wa kudumu from hizi hizi social nets, why not kupata mchumba? Hakunaga formula juu ya wapi pa kumpata mwenza. popote pale watu humeet, hufahamiana na kuanzisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.