Recent content by Ifururu

  1. Ifururu

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Nani anauza bundle humu ndani?sitaki tapeli maana hali ya maisha ni ngumu nisije msomea mtu albadiri mimi.
  2. Ifururu

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Eatel SME naona nao washapunguza GB toka 22 hadi 15 kwa 20k,dah
  3. Ifururu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Zijue hoe phase, panic phase na toxic phase katika lifecycle ya mwanamke wa kisasa

    tunachakata tuu
  4. Ifururu

    JamiiForums Tanzania Uzi maalumu wa Mimea Tiba inayotuzunguka majumbani

    Mimi imekataaga kabisa kupona,mpaka nmeshaacha kula pilipili
  5. Ifururu

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Mkuu nimeshindwa kupata app ya hii kitu,msaada pls naipata kwenye play store au google?
  6. Ifururu

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Napataje hii
  7. Ifururu

    JamiiForums Tanzania Andiko la Thadei Ole Mushi lilivyonifikirisha

    Kwani una uhakika kuwa huo ni mwandiko wake??
  8. Ifururu

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Hapana mkuu ni 4G mkuu
  9. Ifururu

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Unlimited yangu ya leo kasi yake ni ya konokono jamani hii ya 0.17mbps ni ya eatel 5G box na hiyo ya 23mbps nibya simu yangu zote zikiwa ni 4G. Eneo nilipoweka router na niliposerch na simu ni the same. Idadi ya watu waliokonect kwenye internet box ni mmoja tuu. Kifurushi ni cha 110k
  10. Ifururu

    JamiiForums Tanzania Maumivu makali ya masikio

    Pole sana mkuu,tafuta mafuta ya kuku yapashe kidogo yawe vugu vugu,tiririsha kiasi kwenye sikio lenye tatizo,kwa uwezo wa Mungu utapona ndani ya siku mbili tuu. Kuku ni yeyote,kienyeji au kisasa.
  11. Ifururu

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Sawa mkuu,nitafanya hivyo.na je hali ya hewa inaweza kuwa chanzo cha kuwa slow pia?
  12. Ifururu

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Mimi nimenunua kifurushi cha eatel cha 110k tupo watumiaji 9 ila speed yake ni ndogo sana sasa sijajua ni kwa sababu ya mawingu au ni nini kinachangia speed kushuka namna hii.
  13. Ifururu

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Mkuu naomba msaada wa kueleweshwa jambo hapa. Nina staff wangu 32,ninahitaji kifaa cha mtandao iwe voda ,tigo ama eatel. Nimeona tigo wamerahisisha kidogo ila speed yao ni 20mbps,swali langu ni kwamba vipi kama watu 25au wote 32 tutakuwa connected speed itakuwaje?,tutaweza kustream videos kwenye...
  14. Ifururu

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Mkuu naomba msaada wa kueleweshwa jambo hapa. Nina staff wangu 32,ninahitaji kifaa cha mtandao iwe voda ,tigo ama eatel. Nimeona tigo wamerahisisha kidogo ila speed yao ni 20mbps,swali langu ni kwamba vipi kama watu 25au wote 32 tutakuwa connected speed itakuwaje?,tutaweza kustream videos kwenye...
  15. Ifururu

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Habari wakuu,naombeni ushauri kati ya kifaa hiki chenye 20mbps kwa watumiaji 32,au cha voda ama eatel vyenye 30mbps kipi kitakuwa na ubora kwa kasi ya kustream au kupakua? Na vipi kama watakuwa online watu wote 32,je speed itakuwaje?
Back
Top Bottom