Kama kweli Tanzania ili kuwa hivyo enzi hizo, basi tumerudi nyuma sana, sisi ni wazembe wa kufikiri na kutenda. Najua tulikuwa hivyo kwa sababu kulikuwa na wakoloni, waliotuchapa viboko kama punda!!!!!!!!!!jamani tukoje?????
kwenye shina la mti pametulia ila matawi yanacheza cheza, tukate matawi ili mti utulie, kamooniii, mnatupeleka wapi mbona hatukuwa nalo hilo toka uhuru
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.