Recent content by Idofu

  1. Idofu

    JamiiForums Tanzania GE2025 Baada ya October, Hawa watageuka kuwa Maadui!!

    Tuliona Kipindi Lema akiwa Mbunge alivyopata misukosuko hapo Arusha, wengine tulidhani ni kwa sababu ni Mbunge Kutoka Chama Cha Upinzani! Akaja Gambo na Mongella baadae Makonda, Hawa wote ni Kutoka Chama tawala lakini tuliona Mh Gambo alivyopata misukosuko katika Kipindi chake!! Uhakika ni...
  2. Idofu

    JamiiForums Tanzania Geita: Polisi wakamata wawili tukio la mauaji ya kijana Enock

    Hiyo mikoa ya huko,inaonekana Ina idadi kubwa wananchi ambao kiasili sio watanzania!! Kiuhalisia watanzania wengine hawana roho mbaya kama walioionyeaha hao jamaa!!
  3. Idofu

    JamiiForums Tanzania NMB leo Kulikoni?

    Wangefunga kabisa matawi Yao basi,watu tujue Moja!!
  4. Idofu

    JamiiForums Tanzania NMB leo Kulikoni?

    Benki ya NMB leo Kuna nini?,mbona leo hakuna huduma kwenye matawi yenu?
  5. Idofu

    JamiiForums Tanzania IGP piga chini Muliro, kauli ya kumaliza kikao na kupata kinywaji kuanzia saa 1 hadi saa 4:30 alimaanisha ulevi

    Huyu ni mstaafu tayari!! Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
  6. Idofu

    JamiiForums Tanzania Wakatoliki wengi Wana CCM Wameogopa waliyomkuta yule Mwana CCM wa Kilimanjaro

    Baada ya Kauli ya Maaskofu Pasaka,sijaona waumini wa Kanisa Katoliki wakipanua mdomo Kama tulivyozoea miaka ya Nyuma.Sana Sana wanaojitutumua kutoka na Kauli wengi ni waumini wa dini na makanisa mengine!! Unajua kwani nini?,wako na tahadhali Sana kuropoka na wanaogopa yule mwenzao aliyefariki...
  7. Idofu

    JamiiForums Tanzania Hivi Vyama 16 shughuli zao za Kisiasa wanafanyia wapi?

    Kwa Kipindi hiki Cha maandalizi ya Uchaguzi Mkuu ni Vyama vitatu tu ambavyo ni CCM,CHADEMA na ACT ndio naona vina pilika pilika nyingi za kuuza sera zao kwa wananchi!! Swali la kujiuliza hivi Vyama vingine shughuli zao wanafanyia sehemu gani?,Kuna Vyama tangu uishe Uchaguzi Mkuu uliopita mpaka...
  8. Idofu

    JamiiForums Tanzania Waziri Ndejembi atatua Mgogoro wa Ardhi Njombe, Wananchi na KKKT

    Sasa hapo kilichotatuliwaa ni nini?
  9. Idofu

    JamiiForums Tanzania Je, yawezekana tukapata Mabadiliko ndani ya Jeshi la Polisi?

    Mh Rais,ni lazima aelezwe hili!! Ndani ya Jeshi,akitaka kumpata IGP mzuri ni lazima ashuke chini kuanzia mwenye cheo Cha SP, SSP na ACP!! Kumtoa IGP kutoka kwa kwenye vyeo SACP, DCP na CP ni kujidanganya!!,Hawa wengi wao wanakuwa wanakaribia kustaafu na akili zao Mara nyingi zinakuwa zimechoka...
  10. Idofu

    JamiiForums Tanzania Uchaguzi Ujao,inatakiwa Mikoa yote Mikubwa iongozwe na Wapinzani

    Sorry Mkubwa!! Na Mwanza Pia!!
  11. Idofu

    JamiiForums Tanzania Uchaguzi Ujao,inatakiwa Mikoa yote Mikubwa iongozwe na Wapinzani

    Kwa maendeleo yenye uhakika inatakiwa Mikoa yote Mikubwa yaani DSM,Mbeya,Morogoro,Arusha,Kilimanjaro,Tanga,Iringa iongozwe na Wabunge na Madiwani kutoka Vyama vya Upinzani,la sivyo tusahau kupata maendeleo zaidi!! Kwenye hii,Mikoa yote kuna upigaji Mkubwa sana unaendelea Kati ya...
  12. Idofu

    JamiiForums Tanzania Joyce Kiria: Nilikubali kuolewa kwasababu ya umaskini na sio upendo

    Umesema ni " Mjasiriamali"!! anafanya biashara gani?
  13. Idofu

    JamiiForums Tanzania Waziri wa Ardhi aifunga Ofisi ya Idara ya Ardhi ya Halmashauri ya Jiji la Dodoma

    Naunga Mkono hoja!! Hili agizo liende Mikoa yote,hususani kwenye zile halmashauri zilizopo katika Makao ya Mkoa,zibaki zile halmashauri zilizo mbali na Makao Makuu ya Mkoa!! Mfano mdogo ni Mkoa wa Njombe!! Ofisi za Ardhi mji wa Njombe na ofisi ya Kamishna wa Ardhi ziko umbali wa Kama 2Kms...
  14. Idofu

    JamiiForums Tanzania Niliyoona leo kwenye mfumo wa ajira wa Polisi ni Kituko

    Hawajawa tayari kwa hilo zoezi!!, wangefanya kama wanavyofanya miaka ya nyuma!!
  15. Idofu

    JamiiForums Tanzania Nilipata hati bila ya usumbufu wowote kwenye klinik ya ardhi Dar! Mikoani bado ni changamoto

    Huu Mkoa ni wa Nyanda za Juu Kusini!! Kwa wahusika wanaweza kufanya uhakiki kwa waliolipia hati kwenye mfumo wao, na kwa nini hati hawajapewa
Back
Top Bottom