Recent content by idofe

  1. I

    Hawa ndio freemason?

    Dah hata mimi waliniambia nimeshinda bilioni moja na milioni mia nne za tanzania wakataka nitume hela ya kuzi transfer ama kuzisafirisha nikagoma nikaachana nao mana nilijua ni walewale matapeli
  2. I

    Huduma za wagonjwa matibabu moi zasimama tena

    jamani ni ukweli muhimbili kuna mgomo baridi mkali sana. nendeni mawodini hasa wodi ya mwaisela iliyokuwa inajaa wagonjwa hadi kwenye korido. ni kweupee hakuna wagonjwa ndugu wamebeba wagonjwa wao wote kwa sababu huduma hamna. mgomo baridi ni mbaya sana kwa madaktari walahi wagonjwa wakiona cha...
  3. I

    MoF: Awarded Tenders for the Year 2011/2012

    mgomo baridi wa madaktari utazidi makali wakiona hii kitu mods itoeni haraka hii kitu.
Back
Top Bottom