Recent content by Idimulwa

  1. Idimulwa

    JamiiForums Tanzania Kwanini Diaspora ni kutoka nchi za Magharibi tu?

    Wewe nyooka kwenye angle yako ya Ushoga ,tukufuate huko huko,siyo mbali wala
  2. Idimulwa

    JamiiForums Tanzania Waziri Katambi akutana na viongozi wa dini, wajadili mmomonyoko wa maadili

    Hana uwezo wa Kiongozi huyo,haiba wala ushawishi wa Kimamlaka kwenye makundi yote ya Kijamii .Apelekwe Shule akaendelee na Masomo siyo kuwa Waziri wa Mambo ya ndani.ni fedheha.kwa CCM na Taifa.
  3. Idimulwa

    JamiiForums Tanzania Kwanini Diaspora ni kutoka nchi za Magharibi tu?

    Recho Dangwa - Je!? Horaaa
  4. Idimulwa

    JamiiForums Tanzania Sasa nimeelewa ni kwa nini watu kutoka upinzani wakihamia CCM wanapewa vyeo haraka sana tena vikubwa!

    Lakini siku za Karibuni wameanza kuingizwa Chaka naona. Msigwa,Wenje,Peneza teuzi ni horaaaa!!!?- Recho Dangwa ALI BANANGA-Aliachwa njia panda na Magufuli, na sasa hana hamu tena na Siasa za CCM.
  5. Idimulwa

    JamiiForums Tanzania Kwanini Heche hapingi vita Mashariki ya kati?

    Una Malaria kali sana..Katafune Mronge. Kwanza Mkurya na Vita ni ndugu.....
  6. Idimulwa

    JamiiForums Tanzania Kwanini wanawake na wanaume hawachanganyikani msikitini?

    Kustarehesha siyo heshima?
  7. Idimulwa

    JamiiForums Tanzania Upendo Peneza yuko wapi?

    Mandhari ya Mashapale Lodge hapo,Mjini Geita. Paschal huyu kumbe.....
  8. Idimulwa

    JamiiForums Tanzania Upendo Peneza yuko wapi?

    Anauza Juice Fulani hivi niliona Tangazo FB
  9. Idimulwa

    JamiiForums Tanzania Upendo Peneza yuko wapi?

    Upendo Peneza Yuko wapi ameachana na Siasa au?
  10. Idimulwa

    JamiiForums Tanzania Kuna mtu amewahi kupata kazi ya maana kwa kutumia waganga wa jadi?

    Njoo Ntuzu- Simiyu ni Dakika Sifuri tu Tena zaidi ya kazi ya maana,.Mo Dewji,Bakhressa na Bill Gate watakuwa wanakuja uwakopeshe ma hela tena kwa kukutukuza
  11. Idimulwa

    JamiiForums Tanzania Ninasikitishwa na kuumizwa sana ninapoona Sativa akitukana na kudhalilisha Viongozi wetu

    Sasa si ni Ma nusura wa Kifo kutokana na hao anao watukana!!!? Muache ateme nyogo iishe. Au mwenzetu unauzoefu na Kuzimu utujuze?! JF Kuna Kila kitu
  12. Idimulwa

    JamiiForums Tanzania Vita dhidi ya ushoga: Waziri Gwajima amechagua silaha kali au butu?

    Tupiamo ka Video Ka Dorothy akinahii na Mme wake kwanza. Kwenye chanjo ya Covid-19 alitoa maneno tu kwamba..Mitambo ime testiwa na BABA/Shemeji ,Iko powaaaaa!!!
Back
Top Bottom