Kama kosa linafadhilia hivyo ni sawa tu..naandikisha funguo za gari langu na details zote kaunta na ninabaki na ushahidi..
Siyo kumpa Afande Mtaani tu funguo za gari langu..
Akili kubwa sana wewe....!!Licha ya Misuko suko ya Kisiasa iliyowahi kukukumba huko nyuma..hujawahi kwenda CCM....!!!..yaani hapo tu naanzia...!!
Nyota na ing'ae ..nakuombea..tu..
One day Yes..
Nuksi za Mchongo za Utawa wa Kikatoliki ulizopatilizwa baada ya kuachana na Ubruda(Bu Burudele),ndiyo...
Jifunze tu kujisimamia..Sheria zipo zilizo wazi mbona..?!Mimi huwa nawaweka wazi wakinikuta na kosa la Kitrafiki wanaponiomba funguo za gari kwamba nakupaje ufunguo wa gari langu mwenyewe....???Tena unanilazimisha?? Twende Kituoni nikiwa naendesha gari langu kama litalazimika Kisheria libaki...
Pole Mkuu....Aelekezwe Weledi katika kazi na nani....?!CCM hawa hawa.....!!!!??au unaota...!!!?...Chanzo Cha yote haya ni CCM na dawa ni kuwabana tupate Katiba Bora na Tume Huru Ya Uchaguzi..uone kitakachotokea..Wanachomoka Mapema mno..tena kwenye URAIS ndiyo wepesi kabisaaa..,.
Sasa Trafiki...
Ni aliyekuwa kumbe...kwa sasa ni nani na yuko wapi?!Maana nilikoma kumfuatilia baada ya kujiingiza kwenye dili feki la kumchafua HECHE..na hata PR yake ilichuja kwa kasi tangu sakata hilo..
.Ndiyo ameona atoke ki hivi tena...siyo!!!?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.