Recent content by Idimulwa

  1. Idimulwa

    Ninasikitishwa na kuumizwa sana ninapoona Sativa akitukana na kudhalilisha Viongozi wetu

    Sasa si ni Ma nusura wa Kifo kutokana na hao anao watukana!!!? Muache ateme nyogo iishe. Au mwenzetu unauzoefu na Kuzimu utujuze?! JF Kuna Kila kitu
  2. Idimulwa

    Vita dhidi ya ushoga: Waziri Gwajima amechagua silaha kali au butu?

    Tupiamo ka Video Ka Dorothy akinahii na Mme wake kwanza. Kwenye chanjo ya Covid-19 alitoa maneno tu kwamba..Mitambo ime testiwa na BABA/Shemeji ,Iko powaaaaa!!!
  3. Idimulwa

    Mchengerwa Ashinda Tuzo Ya Mbunge Bora Afrika Na Carribean

    - Cha Muziki wa Dansi-?! Apigwe na Cha Asubuhi... Mambo ya C'CM haya wanayajua wao tu!!
  4. Idimulwa

    Wamama funga kazi; mnajua kuwakomesha watoto wenu wakiume kwa mnavyodate na vijana wadogo wa rika la watoto wenu

    Wivu tu..Watu wanavua chupi na kufungua zipi kwa Wanyama kama Mbuzi,Ngo'mbe,Mbwa nk. Hayo hayaoni eti!!!!?
  5. Idimulwa

    Wamama funga kazi; mnajua kuwakomesha watoto wenu wakiume kwa mnavyodate na vijana wadogo wa rika la watoto wenu

    Watu Wana date na Mbwa-Mnyama sembuse na Jimama-Binadamu??!! Acha Wivu Wewe na hakuna hatimiliki kwenye ku date na yeyote Mkuu.
  6. Idimulwa

    ‘Tanzania ya Samia’ - Nani yupo nyuma ya ujinga huu?

    Hapo Madini ya URANIUM nayo yameenda pia.
  7. Idimulwa

    Ni kwanini Iran imetia umakini kulipua raia wakati Marekani na Israel wanalenga zaidi silaha, viongozi, viwanda vya silaha, rada, meli za vita, n.k?

    Huo ndiyo UGAIDI sasa..na Mzee Trump ndiyo maana analala nao mbele kwa nguvu zake zote,hajakosea tambua
  8. Idimulwa

    Askofu Msonganzila: Vyombo vya habari vinaweza kuchangia migogoro ya kisiasa, visikubali kutumiwa ovyo ovyo

    Mwandishi wa habari Moja ya Majukumu yake ni pamoja na kuzitafuta habari popote pale zilipo .Hata Vitani wanakwenda sembuse kwenye Kanisa Katoliki La Musoma!!? Huyo ni chawa wa CCM kama walivyo wengine tu,musikilize anavyo ng'ata na kupiliza!?Wakuwashangaa hapo ni Polisi- CCM kurusha Mabomu...
  9. Idimulwa

    Prof. Kitila: Haiwezekani nchi ikaendelea kwa kuendelea kuwa na bunge linalojadili ujenzi wa matundu ya vyoo

    Hakuna Profesa wa kuleta Maendeleo hapo...akili yote iliiacha CHADEMA kule. Kwa sasa Kitila ni-'Motivation Speaker-' tu.
  10. Idimulwa

    Uhuru wa habari umepigwa kitanzi; Rostam Aziz anunua gazeti la Mwananchi

    Sasa Kwa nini muuzaji amekubali kuuza?
  11. Idimulwa

    CHADEMA yakutana na Mwakilishi wa UN, ni kuhusu Mauaji ya kupangwa ya octoba 29, Moto umewaka

    Hivi Nchi huru inakuwa huru pia kuua na kuteka watu wake?
Back
Top Bottom