Hana uwezo wa Kiongozi huyo,haiba wala ushawishi wa Kimamlaka kwenye makundi yote ya Kijamii .Apelekwe Shule akaendelee na Masomo siyo kuwa Waziri wa Mambo ya ndani.ni fedheha.kwa CCM na Taifa.
Lakini siku za Karibuni wameanza kuingizwa Chaka naona.
Msigwa,Wenje,Peneza teuzi ni horaaaa!!!?- Recho Dangwa
ALI BANANGA-Aliachwa njia panda na Magufuli, na sasa hana hamu tena na Siasa za CCM.
Njoo Ntuzu- Simiyu ni Dakika Sifuri tu Tena zaidi ya kazi ya maana,.Mo Dewji,Bakhressa na Bill Gate watakuwa wanakuja uwakopeshe ma hela tena kwa kukutukuza
Tupiamo ka Video Ka Dorothy akinahii na Mme wake kwanza.
Kwenye chanjo ya Covid-19 alitoa maneno tu kwamba..Mitambo ime testiwa na BABA/Shemeji ,Iko powaaaaa!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.