Recent content by Ideologist

  1. I

    JamiiForums Tanzania Mimi siyo yule tena

    kwasasa yupo kwenye taasisi moja ya fedha anaendelea na maisha yake. Mimi nilibaki msimamo wangu maisha yanasonga
  2. I

    JamiiForums Tanzania Mimi siyo yule tena

    Hawa wadaa kuna vitu vidogo sana wanakosea mkuu ambavyo vinawacost baadae
  3. I

    JamiiForums Tanzania Mimi siyo yule tena

    Ndani ya moyo wangu nampenda ila siwezi kuendelea nae tena amenijeruhi sana
  4. I

    JamiiForums Tanzania Mimi siyo yule tena

    sijagusa mkuu
  5. I

    JamiiForums Tanzania Mimi siyo yule tena

    wakati mwingine inatulazimu kuchukua maamuzi magumu hata kama hupendi kufanya hivyo
  6. I

    JamiiForums Tanzania Mimi siyo yule tena

    nafikiri alinitega kwa tako ila nilikomaa kiume ingawa uzalendo mgumu
  7. I

    JamiiForums Tanzania Mimi siyo yule tena

    kila kitu kiko wazi hata yeye kama yupo humu atajua ninachoongea
  8. I

    JamiiForums Tanzania Mimi siyo yule tena

    hahaha
  9. I

    JamiiForums Tanzania Mimi siyo yule tena

    anaonekana kuna aina flani ya maisha anapenda ila mimi siwezi kumpatia
  10. I

    JamiiForums Tanzania Mimi siyo yule tena

    Nilikutana na huyu binti mrembo sana mwenye hips la maana mwaka 2006 kipindi hicho tunapambana na tuition k/koo. Kwa bahati nzuri wote tulifanikiwa kufaulu na kuchaguliwa mlimani hapa upendo ulikuwa motomoto kila sehemu tuko nae na ikizingatia tulikuwa na bumu 100%. Basi tulizunguka sana...
  11. I

    JamiiForums Tanzania Kuku wa kienyeji

    weka
  12. I

    JamiiForums Tanzania Sitaisahau awamu ya tano; Kwa namna maisha yanavyonipiga na namna maisha yalivyogeuka shubiri

    KIPINDI CHA KIKWETE Nilianza kazi mwaka 2013 na mshahara wa 532,000/= Mwaka 2014 ukapanda hadi 630,000/= Mwaka 2015 Kikwete akacheka tena hadi 716,000/= Nikachukua mkopo wa miaka 5 NMB milioni 10, nikanunua kiwanja na tofali 2000 nikijua mwaka 2016 mshahara utapanda tena nitaanza kujenga...
Back
Top Bottom