Nimedownload application ya kuhakiki stamp za vinywaji kwenye simu ili kusense kinywaji bandia. Kila nikiscan stamp sioni kitu, je nakosea wapi? Kwa anayejua tuelimishane
hujaangalia vizuri.kila kitu kipo.haina hata pancha.mpaka jana imeleta pesa na.iko njiani.njoo kagua gari tufanye biashara.nahamia kikazi.mikoani sitaweza kuisimamia
Nipigie 0754279035 nikupe apartment yenye baraza.sebule kubwa na chumba masta ambayo itakutosha.aliyeondoka alikuwa na familia ya watu 4.sebule kubwa inagawika.bei 80.000 kwa mwezi.kwa kuanzia unatoa miezi mitatu baada ya hapo unalipa kwa kwa mwezi mmoja.mahali kitunda shule.magari yapo moja kwa...
nina uzoefu wa kutosha wa mambo ya ujenzi.kwa kuwa tayari kuna mitaro na iliwahi kujengwa kui upgrade kiasi hicho kinatosha kama pesa hiyo ikitumika vizuri.siku hizi tunatumia mfumo wa TANEPS hii inapelekea garama za ujenzi kushuka
Hii barabara ina mashimo sana na inaleta usumbufu
Tarura amkeni kipande kidogo sana cha nusu kilomita kitusumbue namna hii. Mbunge wetu uko wapi? Kwa uzoefu wangu matengenezo yake kuweka lami haizidi milioni 500. Iweje sehemu muhimu kama hii kuwe na miundo minu mibovu.Tarura.DMDP.
Mbunge wetu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.