Sounds like utawala wa Puttin na Medved! Mara kuwa Prime Minister, mimi niwe President then flip after 8 years! Kwani nini katiba ya KKKT isiwe kama ya uraisi Tanzania, ukimaliza ngwe yako huwezi tena kugombea? It is sad kwa kanisa kumrudisha tena huyu mtu ambaye amekuwa kwenye vyombo ya habari...
Issue ya isolation sio kujilinda wewe ni kuwalinda wengine! Kwa sababu kama una maambukiza kila unayekutana naye kuna uwezekano wa kumuambukiza! So hao wakiji isolate na baada ya 14 days wakawa clean watakuwa ok sio kuambukiza bali kuambukizwa! Think about it! If all members do that, it will be...
BAE did the same to our country. FYI kampuni kubwa ni hatari tena pale inapoona transaction is one time only! I dont see Tz ikirudi kununua ndege zaidi! They cannot do that to China kwa kuwa Chinese wanaagiza ndege lukuki!
Most government accounting use Modified Acrual
accounting system! Unajua Fund Accounting is conplicated and not many people understand how fund accounting/gasb works ndio maana tunaona shida kwenye kuelezea haya maswala. Prof Assad kama nakumbuka yeye ni mtaalamu wa Enterprise Accounting so may...
Even YOu! Believe this crap! The signature is forged!!Edward does not communicate this way, pili he is very mature leader he will never disclose to pulbic what they talked and third he is the one requested to meet dr Magufuli, JPM alisema on briefing the media during picture taken. And forrh...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.