Habari wadau,
Nina Malori semi- trailer mawili yapo tayari kwa kazi Muda wote, Shida yangu Mizigo natapa kwa kusuasua sana, nipo Dar es Salaam. Napolea Ushauri pamoja na Connection ya upatikanaji wa mizigo.
0622925955
Habarini brother and sisters, Nisizinguke ngoja niende kwenye swali direct, nina 25M nataka kununua gari liwe SUV liwe la mwingereza au mjerumani, ni gari lipi litanifaa? nina uchumi wa kawaida tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.