Wakati mwengine Bahati katika maisha Ina nafasi japo asilimia zaidi ya 90 ya matokeo katika maisha yetu yanatokana na jitihada maarifa ubunifu na kutokukata tamaa,
Kama hauna ramani yoyote kajitolee ila trust me miezi minne ni muda mwingi Sana kuipoteza regardless wamekuhakikishia ajira, kwa...
Nilichogundua katika maelezo yako.
Akili yako ime focus zaid katika suala la kuajiriwa kuliko kutafuta fursa zingine tofauti na ajira.
Kitaa kina fursa nyingi Sana ila ni wachache wenye uwezo wa kuzitumia, kila uchwao Kuna watu kitaani jua linawawakia na wengine wanazidi kustawi hapo tofauti...
Alafu maeneo Kama hayo unapoenda kuwekeza wenyeji hawakusanui, wanakuchora tu ukiangukia pua ndio wanakwambia njia za kupita, kwa kifupi maeneo ya pwani Kuna uswahili mwingi na wanapenda watu waishi maisha ya kufanana, ukijifanya mpambanaji wanakuvuta shati urudi nyuma kimaendeleo
Huo ndio uhalisia wa maisha yetu watoto wa kishua wanaona ni hadithi za kufikirika ila katika utafutaji mauzauza mengi Sana lazima kuwa na Nguvu ya kukulinda wewe pamoja na mali zako.
Well said mkuu
Shetani Hana mamlaka juu yetu ikiwa tuna mahusiano mazuri na Mungu na vita ya ulimwengu wa roho haiko ivyo Kama unavyodhani, ili shetani akupige ni lazima apate uhalali ambao Mungu mwenyewe anaruhusu upigwe mfano,
Ayubu 1:6-11
[6]Ilikuwa, siku moja ambayo hao wana wa Mungu walikwenda...
Habari za wakati huu Wapendwa.
Binafsi nipende kuwashukuru wadau wote jamiiforum hakika nimejifunza mengi katika baadhi ya machapisho ya wadau nimekuwa motivated Sana kuingia kwa mara nyingine katika ufugaji.
Pamoja na kujifunza mengi Kuna baazi ya mambo Hadi hivi sasa yananitatiza ningependa...
Mafanikio ya ki Mungu yana utaratibu wake, hata biblia imeandika Mungu wetu ni Mungu wa utaratibu na si Mungu wa machafuko.
Kutoa zaka pekee haitoshi ikiwa Imani yako na moyo wako hauko thabiti kwa Mungu, ukisoma kitabu Cha mwanzo 3:1 na kuendelea unaona sadaka ya Habeli ilikubaliwa na ya Kaini...
Nishajipanga kwenye kilimo na ufugaji na isingekuwa stahiki zangu pengine ningekuwa nishaamsha ila kinachoniuma kuacha hela zangu ambazo nimezitolea jasho kwa kigezo Cha kwenda kutafuta zingine
Itabidi nifanye ivyo ila nilipata woga wa kufanya maamuz kutokana wadau wengi walioacha kazi hapa nilipo stahiki zao ni Kama walitoa sadaka na wengine waliokomalia stahiki zao taasisi iliwarudisha kazini huku wakiahidiwa kupewa stahiki zao hali ya kiuchumi itakapokuwa sawa, pengine ni kutojua...
Asante sana kaka, na je nikifingua kesi ya madai kabla ya kuacha kazi naweza toboa maana nawadai hela nying sana na sioni dalili ya taasisi kukaa sawa kiuchumi zaid ya mambo kuwa magumu kila siku
NSSF ni Kama hakuna kitu wameingiza Makato ya miezi Kama nane tu, Kuna zaidi ya miezi 28 hawajaweka.
Nilijaribu kuwasilisha mararamiko yangu kwenye ofisi za NSSF ila ni Kama na wao wapo upande wa mwajiri
Ni kweli ila Hadi nafikia hatua hii Kuna mengi nimepitia ambayo nashindwa kuvumilia, imagine inapita miezi miwili kavu bila salary na wakianza kutoa wanatoa kidogo kidogo Tena kwa kubagua, mwisho wa siku najikuta madeni makubwa kuliko nnachopata, na pia nikitizama college mate niliosoma nao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.