Recent content by ibradebo

  1. ibradebo

    Kwa Tsh. 100,000 tu unafanya biashara Kariakoo

    Nataka nije hapo unioneshe chimbo la chupi na boxer Mkuu
  2. ibradebo

    Huko ulipo lita moja ya maziwa ni bei gani?

    800 hadi 1000 inategemea na muuzaji
  3. ibradebo

    Tupia picha kali utakayopiga na simu yako tujue aina gani ya simu ina kamera matata sana

    Iyo 21 ultra ina filters zake baada ya kupiga picha sasa wewe umechukua picha kazi kama ilivyo ulitakiwa uende kwenye uweke auto na remaster ndio ulinganishe halafu uone balaa lake
  4. ibradebo

    Umuhimu wa Tv Guard na Stabilizer katika matumizi ya umeme majumbani

    Hapo kwenye pmpo tupe somo hesabu zake zinakuaje maana kuna mtu Facebook marketplace anauza home theater singsung hizi za kichina anadai ni watt 4500 kakomaa kinoma iyo sio watt 4500 japo sijui formula yake
  5. ibradebo

    Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa

    Mzigo nimetumiwa uko Senegal kutoka australia wamesema hawaship moja kwa moja tz unaweza kunisaidia kuupata kuja tz?
  6. ibradebo

    Google Camera: Camera bora zaidi kwenye simu yako

    Gcam ya Samsung galaxy note 10+(snapdragon)
  7. ibradebo

    Niulize chochote kuhusu Subwoofer na Sounds system

    Kwa sasa bei zimepanda sana sijui kwa nini 900k mpaka 1m inategemea na duka
  8. ibradebo

    Niulize chochote kuhusu Subwoofer na Sounds system

    Naamanisha port yake ya flash maana wanasema haikutengenezwa kwa ajili ya kuunganisha Bluetooth inakuwa kama unalazimisha
  9. ibradebo

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Kwa niaba anatafuta mtu wa kubadilishana kituo cha kazi aje geita wilaya ya mbogwe yeye aende tanga wilaya yoyote, chalinze, kibaha au pwani wilaya yoyote idara msingi 07191512715
  10. ibradebo

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Kutoka rufiji mpaka dar sh ngapi? Mimi nipo Geita
  11. ibradebo

    Niulize chochote kuhusu Subwoofer na Sounds system

    Nasikia ubora wa sauti unapungua ukipiga mziki kwa Bluetooth uliyofunga kwenye mziki tofauti na mziki utakaocheza kwenye flash! Je hii kweli?
  12. ibradebo

    Hizi Home theatre zinatengenezwa kwa teknolojia gani?

    Sawa nakubaliana na wewe ila kuna HT nilikutana nayo Ina 1200w Aina ya sony acha inapiga Balaa bass Ina nguvu balaa mimi natumia sony ht 1000w ila iyo niliivulia kofia mkuu, ukiiweka na hifi za kawaida hazifiki pale
  13. ibradebo

    Hizi Home theatre zinatengenezwa kwa teknolojia gani?

    Hata home theater inasettings ya 2ch kwa ajili ya real music
Back
Top Bottom