Mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu mwaka wa kwanza, nilikua nawazo la kuanza kuwekeza kwenye kilimo kupitia boom langu.
Sasa ni kwamba kwasasa sijui ni aina gani ya mazao ambayo nitaweza wekeza na yakanipa faida kutokana na hali yenyewe jinsi ilivyo ya kiuchumi, na ni vema nianze na kiwango gani...
Mi sio mbobevu kiivo kwenye international affairs ivo swali langu ni kwamba why marekani anakua kama international tittle contender Yani hakuna international agreement ambayo inaweza fanyika bila kutajwa Wala kuhusishwa why?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.