Recent content by Ibilisi

  1. Ibilisi

    Walimu wakatazwa kubet

    Nani kawakataza walimu kubet huko Mlele? Cha ajabu utakuta ni maboss wao! Yaani waalimu mnawaibia stahiki zao, hadi kwenye uandikishaji wapigakura mmewaweka kwa kuwatoza elfu 50 asiyetoa hapati nafasi, mmeona haitoshi hela ya semina mnawalipa 40k badala ya 120k na bado kwenye zoezi lenyewe...
  2. Ibilisi

    LIVE Yanayojiri kwenye Mgogoro wa Israel, Palestine Gaza na Iran

    Duhhh! Kwa uandishi huu hata facebook wanakukataa
  3. Ibilisi

    Vita ni mbaya, leo Ayatollah Khamenei ameongoza Ibada akiwa bunduki

    😁😁😁Kumbe ni kila sehemu Kuna kijiji huko geita walikuwa wanagombea msikiti sijui ndo shia na sunni, sijui shia na muqawama walikuwa wanaita (sikumbuki vizuri). Mimi na jamaa yangu tukaalikwa na kiongozi wao wa bakwata wilaya kikao cha usuluhishi. Kumbe yule kiongozi ana upande na kaalika watu...
  4. Ibilisi

    P Diddy ana ajenda nyuma ya pazia

    Kwani R Kelly ishu yake ilihusiana na LGBTQ?
  5. Ibilisi

    Tujadili kesi ya Tundu VS TIGO: Nani analipa gharama za uwakili kwa kampuni hizi za kimataifa zinazosimamia kesi yake huko nje nchi..?

    Yaani kukomaa kote huko unaongelea akili za duniani mara elimu dunia, kumbe akili yako inaishia kwenye kutomba tu! Kazi kwelikweli! Hii dunia ingejaa watu wa aina yako, hadi leo tungekuwa na ustaarabu wa zama za kale za mawe. Wewe ni aibu ya taifa.
  6. Ibilisi

    Tetesi: Netanyahu kakimba Israel baada ya kusikia Iran itaishambulia Israel

    😁😁😁 Mnawakosesha amani kabisa kobazi
  7. Ibilisi

    Iran yarusha Makombora takriban 200 kuelekea Israel, Rais Biden aagiza Jeshi la Marekani kuyazuia

    Tangu lini sisiem ikajali watu? Wao wanachojali akina Lucas Mwashamba, kipara kipya, stroke, choice variable wapo, the rest mliojitambua na kupata exposure kiasi cha kuweza kwenda huko nje mtajijua wenyewe. Mtanzania ni mfano wa mtoto wa kichaa, full kujipambania wakati mzazi yupo.
  8. Ibilisi

    Jeshi la Israel, IDF limemuua Mkuu wa Hamas nchini Lebanon Fatah Sharif, mke pamoja na watoto wake

    😁😁😁 Halafu ni 72 si 70. Umepiga cha juu 2 virgins
  9. Ibilisi

    Alichokifanya P Diddy iwe Funzo Kwa Vijana Wengine Wapenda Kitonga

    😁Chai hii. Alisimulia nani yote hayo kama mhusika mwenyewe alikata moto?
  10. Ibilisi

    Je, ni kweli meditation inaamsha nguvu ya kiroho isiyoonekana?

    Nilipokuwa mdogo nilikuwa nafanya tahajudi bila kujua. Nilikuwa naona maajabu sana. Nimekuja kujua kuwa ni tahajudi baada ya kukua na kusoma humu. Nakumbuka kwa mara ya kwanza nilisoma uzi wa Mshana Jr
Back
Top Bottom