Ume
A,B na C ukisafiri umbali mrefu highway Ni nadra Sana kuzikuta zimepakiwa pembezoni mwa barabara zimefunguliwa boneti,kuashiria changamoto.Hayo unayoyasifia kibao kila baada ya km kadhaa tunaziona boneti juu hali tete.
Uchumi ukiwa mzuri hata kwenda sokoni na scania 113 ni sawa tu.ikiwezekana hata kutumia trector aina ya Ferguson town trip,kuchaguliana usafiri sio vizuri mjini hapa
Hapa ni kumtoa TRA kafara tu.kwa awamu nyingine waliokusanya kodi ni hawa TRA,na mizigo ilifika Kwa wingi.kuna mahali tumekosea TRA ni chambo tu.zipitiwe upya sheria za kodi na mambo yote yanayohusu uwekezaji hasa sekta binafsi.UKIMCHUKIA TAJIRI,UTAMBUE UMEMFANYA MASKINI KUENDELEA KUWA MASKINI.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.