Recent content by ibalozy

  1. ibalozy

    DOKEZO Wastaafu wa TAZARA tunasotea stahiki zetu huu Mwaka wa 20, Rais Samia tusaidie

    Tazara Ina changamoto kubwa sana,ni sawa na mtoto aliekosa walezi...hadi kufikia Leo April 3 mishahara ya march haijalipwa na hakuna maelezo yakueleweka.
  2. ibalozy

    Ajira 500 za Wauguzi nchini Saudia, zimeishia wapi?

    Kwa maana hyo wameshakuwa selected?
  3. ibalozy

    Ajira 500 za Wauguzi nchini Saudia, zimeishia wapi?

    Serikali ilitangaza nafasi 500 za wauguzi wa kike, ambao walitakiwa kuenda kufanya kazi nchini Saudi Arabia, kupitia tangazo hilo ilitangazwa kuwa kufikia tarehe 10 January watakaokuwa wamefanaikiwa kupata nafasi, watatakiwa kuonana na Waziri husika. Je, hili hili suala limefikia wapi??
Back
Top Bottom