Sawa kaka nimekuelewa,je kwa mm ambae nilimalza form 4 2016 ila nkajiendeleza kwa kidato cha sita mwaka 2022 nikamalza na pia kwenye mkopo nimeambatanisha na cheti hicho cha form 6,je watanizangatia?
Kabla ya hapo nilisomea Ualimu wa msingi kwa Grade la III A
So mwaka jana nikatafuta centre ya Mtihani wa form 6 nikafanya ndo nkapata hayo matokeo,nilikua najisomea mwenyewe bila mwalimu....Bado pia nasubiri Ajira toka serikalini nilimalza 2019
Naomba kuuliza,
Kwa matokeo haya form 6 je, unaweza soma course gani chuoni na kwa Level gani?
H-F K-E L-E na GS -E Division iii point ya 17
Je, mtu huyu ataenda kusoma course gani ambayo itamsaidia mbeleni.
Naomba msaada wadau.
SMARTPHONETZ_USED
HABARI WAPENDWA
BEI ZA SIMU USED FROM UK
Samsung s6 210000
Samsung s6+ 240000
Samsung s7 270000
Samsung s9 330000
Samsung s8+ 380000
Samsung s9+ 400000
Samsung s10+ 560000
Samsung note8 390000
Samsung note9 460000
samsung 3a 320000
nokia ndogo 30000
Karibuni sana mzigo upo wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.