Recent content by iamdastani

  1. iamdastani

    Suluhisho la Kupokea Malipo kwa Uharaka: ZenoPay

    ZenoPay ni mfumo wa malipo wa kisasa unaotoa suluhisho rahisi na la haraka kwa biashara na wajasiriamali wanaohitaji kupokea malipo kwa urahisi. Hapa chini ni baadhi ya faida na njia za kutumia ZenoPay: Faida za ZenoPay: Malipo kwa Kadi na PUSH USSD ZenoPay inakubali malipo kupitia kadi za...
  2. iamdastani

    Naomba kuelekezwa namna ya kutengeneza API

    ZenoPay wanatoa Api za Kupokelea Malipo kwa Njia ya Malipo ya Simu na Card
  3. iamdastani

    Jinsi Artificial Intelligence Inavyowasaidia Watanzania Kufanikiwa

    Kila siku, teknolojia ya Artificial Intelligence (AI) inavyoendelea kukua, ndivyo inavyoleta mabadiliko makubwa katika maisha yetu ya kila siku. Watanzania pia wanafaidika na maendeleo haya, ambayo yanabadilisha njia tunavyofanya kazi, kufikiria, na kutatua matatizo. Moja ya maeneo ambayo AI...
  4. iamdastani

    Mafanikio ni Mchakato

    Hizi ni picha mbili zinazoonyesha mazingira yangu ya kufanyia kazi mwaka 2018 na mwaka 2022 , Posts zingine zaidi kuhusu setup yangu ziko kwenye Instagram yangu ambayo natumia username ya iamdastani , Login • Instagram
  5. iamdastani

    Jogoo hapandi majike, nifanyeje?

    Hili nii jukwaa huru ni haki yangu kuuliza ambacho sikijui ili nipate majibu , kama huna jibu ni vyema ukakaa kimya
  6. iamdastani

    Jogoo hapandi majike, nifanyeje?

    Mhh kuna hiyo sindano kweli? heshima kitu cha bure
  7. iamdastani

    Jogoo hapandi majike, nifanyeje?

    Mhh kuna hiyo sindano kweli?
  8. iamdastani

    Jogoo hapandi majike, nifanyeje?

    ooh sawa kumbe kuna kuangalia kama Jogoo kakomaa au hajakomaa? unajuaje?
  9. iamdastani

    Jogoo hapandi majike, nifanyeje?

    Sawa Ahsante kwa ushauri
  10. iamdastani

    Jogoo hapandi majike, nifanyeje?

    Nimeanza ufugaji wakuku wa kienyeji, nimeanza na kuku jike 3, jogoo 1 ila saizi ni mwezi wa pili sioni Jogoo hata akikimbiza kuku wa kike nifanyaje?
Back
Top Bottom