Nb. Samahani ndugu, naomba ushauri wenu hivi ni biashara gani inaweza kuwa imara na soko lenye kuleta faida ,kwa mtaji wa 2million, maana nimekuwa nikiwaza chakufany lakini mengi yanakuja kichwani[emoji847]
Mbowe mbona account zako ziko open mzee , hizo zilizofungiwa ni zipi au ndio kuchafua tu uonekane mtu , haya maneno akirudi jamaa utaweza yaongea kweli.
Habari wakuu,
Leo niko na swali moja, muhimu na sijawahi lipatia ufumbuzi.
Kwanini unaweza nunua gari nje kwa bei nafuu lakini, likifika Tnzania makato yanakuwa maradufu hadi unaanza likatia tamaa gari lako, hasa (TRA, Motor vihicle Tax)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.