Lakini tutafika kweli kwani kila akiibuka mtaalamu mzuri su hasha ukasikia kachukuliwa na WHO au mashirika mengine makubwa ambayo nayo pia hatuna imani nayo yameundwa na hao hao wenye malengo yao dhidi ya ubinaadamu .so ifike wakati tuamke turudi kufanyekazi kwa ajili ya jamii yetu
Inasikitisha sana na hilo limegunduliwa na kuwekwa bayana ss hivi lkn pengine ni zaidi ya miaka ninda miaka rudi lnafanyika hilo kwa makusudi mazima.tulianza na chanjo moja au mbili wakati mtoto akizaliwa miaka hiyo ya 60s na 70s lkn leo tuangalie mtoto amepangiwa chanjo ngapi?ni muendelezo wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.