Kijani na njano na ngozi nyeusi ni bendera ya nchi brother tusidanganyane kwa hivyo taifa stars ikicheza sisi mashabiki wa simba tususie jezi ambazo sio nyekundu...
Mi naona tuwape masaa 24 alafu tujue vijana wanaelekeza nguvu jeshini au chuoni alafu kuhusu wale ambao washalipa ada tujue zitakuwa freezed for the time being?anyway madogo msipanic.u have 48hrs za kujua ukweli tulia ulipo na ujipange tu kama mwanajeshi vitani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.