Wakuu tubadilike zama za kujishusha kwa mwanamke atakusumbia sana na hupaswi kuomba ushauri kwa sababu hao hawaombi ushauri hata humu jf si unaona hapa cha msingi ili kurudisha heshima tuwe watendaji na si waombaji ushauri
Haa sa kama ulitaka mtoto tu akue ingeacha kulala nae basi ,huyo mwanamke mjanja cos we ulitaka uumtumie alf umuache nae kagundua ukiwa na mawazo hayo hutamuacha hapo chakufanya ili usichezewe akili na wanaake tena maishani mwako muache hivyohivyo mimba akalee mwenyewe kwani yy ndo kaitaka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.