Recent content by Hussein Mnongelwa

  1. Hussein Mnongelwa

    Kwa Mara ya kwanza ushauri wangu umezingatiwa na Rais

    mkuu ushauri wako kasha usikiya
  2. Hussein Mnongelwa

    DC Ludewa: Waliosusia kikao changu wakamatwe

    sasa ikiwa wananchi, wakikosa malipo ya kulipa faini, kwa uwingi wao rumande y LUDEWA itatosha?
  3. Hussein Mnongelwa

    Prof. Lipumba ataka suluhu na Maalim Seif

    cuf wa uswahilini, jinsi wanavo mchukulia prof lipumba, kukiwa tu na maridhiyano ya lipumba kubaki na uwenyekiti wa chama, ndio itakuwa mwisho wa cuf uswahilini
  4. Hussein Mnongelwa

    Mjue Donald Trump

    Duh! MWISCOSH? mbona OBAMA ana asili ya KENYA na wakamkubalia kugombea na Sasa ni rais?
  5. Hussein Mnongelwa

    Mjue Donald Trump

    Anasema; Africa lazima itawaliwe na wazungu, wa pate kuurudisha ustaarabu Wali uacha
  6. Hussein Mnongelwa

    Msajili wa vyama vya siasa: Sikumrudishia Lipumba uenyekiti CUF

    kwani kwani makao makuu ya chama ndio mhuri wakuendeshea vikao va chama? ikumbukwe, mgogoro wa NCCR MAGEUZI wakatiuo wa MREMA VS. MARANDO vikao vilikua vikifanyika TANGA na ZANZIBAR(sio DAR makao makuu) na msajili wa wakati huo alikua akavitambua.
  7. Hussein Mnongelwa

    Baraza Kuu la Uongozi la Taifa CUF, kwa kutumia uwezo wake limemfukuza uanachama Profesa Lipumba

    tusubiri majibu ya tukio hilo, kwa msajili wa vyama va siasa na prof, Lipumba team, kombora lao la kujizatiti kwao uongozini?
  8. Hussein Mnongelwa

    UN wamuhoji Waziri wa Mambo ya Nje juu ya suala la Zanzibar

    kumbe! kumbe USA na UN, nitafuti?
  9. Hussein Mnongelwa

    CUF imekataa maoni na ushauri uliotolewa na msajili wa vyama vya siasa nchini

    ningekua miye ndio prof, ninge ogopa matokeo yatakayo kuja jiri baada ya kurudishiwa uwenyekiti, sababu inaonyesha wengi wa wafuasi wa CUF hawaja furahishwa kurudishiwa kwake uwenyekiti
Back
Top Bottom