Mkuu nimependa umekua muwazi kuhusu chombo, mpaka mambo ya kodi. Mwingine hapo anakuacha ukafe nalo, siku unaenda kufanya transfer ya umiliki ndo unakutana na fine imesimama kwelikweli.
Mkuu nimeweka namba yangu hapo juu, au kama hautojali unitumie namba yako kwa namna yoyote ile, mimi...
Mkuu ofa yako ni ngumu kidogo.
Guta hili nataka lifanye kazi yakubeba maji tuu.. hivyo hesabu yako itakua inatoka kwenye hesabu yakuosha magari. Hii itaniumiza.
Ila kama utanipa kwa "Mkataba" usioumiza nitakubali ofa yako. Baada ya mkataba litanifaa sana.
Nakubali kufanya mazungumzo.
1. Pamoja na gharama zote hizi siwezi kuhama kwasababu location ilipo car wash ni location bora kuliko zote kwa eneo hili. Nikipunguza gharama za maji, biashara itanilipa sana.
2. Siwezi kuhama kwasababu mahali nilipo ninatumika ofisi fulani. Labda mpaka mwaka huu uishe.
Niliwahi kukodi Guta, nikapakia Tank moja nikafata maji. Nilisave 4,500/=, Sio haba ila bado sio Significant kama nikiwa na guta langu. Kwa wastani guta dogo linabeba dumu 30-35.
Pia hapo niliendesha guta mwenyewe, nikapakia maji mwenyewe. Akienda mwingine zoezi linacost zaidi.
Rejea hiyo Subject hapo juu. Sina nguvu yakununua vipya, hivyo nataka used chenye afya. Natambua na kuheshimu Madalali ila kwenye hili ninahitaji wamiliki.
Juzi dalali kaniambia Carry mil3.7. Nikachukua namba za usajili nikaomba Query zakikodi au Customs (If any), huko nikapata namba ya...
Dodoma mjini.
0716897753
Tatizo ni kwamba nimefika kwenye hatua yakulipia ili ningojee kuja kufungiwa umeme. Natakiwa nipewe reference number, kila siku tangu jumatatu najibiwa mtandao hakuna.
Mkuu fafanua kwenye hili.
Nyumba ina/inaweza kubeba wapangaji wangapi?
Kuna nyumba moja nilipelekwa area A, lile ni bweni bhana. Lina vyumba 24, 12 vipo kulia, 12 kushoto.
Kuna wengine kukaa kwenye watu wengi sana ni mtihani.
Namba ya simu ni muhimu.
Tanesco Dodoma siku ya nne leo wateja hatupati huduma, tunajibiwa kua mtandao hakuna?
Pengine wawezakutusaidia kinagaubaga. Nini hasa tatizo? Ni kweli kwamba mmeshindwa kufix network issue kwa cku nne zote...!!!?? Au kuna yaliyojificha?
Nilipokujibu mara ya kwanza nilidhani wewe ni mtu mzima.
Ila kwa uandishi huu na vicheko hivyo vyakuandika nimepata mashaka makubwa sana.
Sawa mkuu, acha sisi wa darasa la saba (kimawazo) tuendelee kushauriana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.